Sitemap - 2024 - Barua Ya Chahali

Ugaidi ni Nini? Na Magaidi ni Watu Gani Hasa? Sehemu ya Kumi na Tano: Hay'at Tahrir al-Sham (HTS), kutoka 'tawi' la al-Qaeda hadi kundi linaoongoza serikali ya mpito Syria baada ya kumng'oa Assad

Uenyekiti Chadema: Mambo Mawili Yanayotumiwa na Kambi ya Mbowe Kumbana Lissu

Heri ya Krismasi kutoka Barua Ya Chahali, burudika na riwaya fupi ya kijasusi maalum kwa ajili ya Krismasi

Mogadishu: Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa, Selemani Mombo na mwenzie wa Somalia, Abdullahi 'Sanbaloolshe', wasaini makubaliano ya ushirikiano kukabili ugaidi

Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu Mbowe kuamua kugombea tena uenyekiti Chadema, "mpambano" wake vs Lissu, na mustakabali wa chama chao

Tathmini ya kiintelijensia: Mbowe ajipa masaa 48 kufanya maamuzi magumu, je atagombea au la? Vyovyote atakavyoamua, je mustakabali wa Chadema utakuwaje

Tathmini ya kiintelijensia kuhusu tahadhari aliyotoa Lissu kuwa 'watu wasiojulikana' wanapanga kumdhuru kisha wadai ni Mbowe aliyefanya hivyo

TEKLA, a love story: Riwaya nyingine kutoka kwa Jasusi...japo hii si ya kijasusi 😊[Sehemu ya Ishirini na Moja - "Heartbreak at Break Point"]

Mtandao: riwaya (fiction) ya kwanza kabisa ya Jasusi - Sehemu ya Ishirini Na Mbili: "Risasi Zarindima Dar"

Uenyekiti Chadema: Japo Mbowe hajatangaza nia, je kuna tofauti gani kati yake na Lissu, na nani anafaa zaidi?

Uchambuzi wa Kiintelijensia Kuhusu Uamuzi wa Lissu Kuwania Uenyekiti Chadema na Mustakabali Wake na Chama Hicho

Kwa Minajili ya Kumbukumbu: Waraka Mfupi wa Twiti wa Jasusi kwa Martin Maranja

Taarifa ya Kiintelijensia: Rais Samia Amwondoa Mmoja wa Wakurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa

Happy Birthday Tanganyika, Happy Birthday Jasusi

Safu ya AFYA: Matatizo ya Usingizi (Sleep Disorders):- Sababu, Madhara, na Njia za Matibabu

Video/Audio: Jasusi ahojiwa na Crown FM kuhusu chuki za baadhi ya raia dhidi ya vyombo vya dola

Nani Yupo Nyuma ya Utekaji Unaoendelea Nchini Tanzania?

Umuhimu wa kuwa na "Ubongo wa Pili" (Second Brain)

Pata toleo la wiki hii la gazeti la bure la kila wiki #PAMBAZUKO. Kutumiwa nakala yako tuma neno HABARI kwa Whatsapp +255 744 768 263 au kwa baruapepe pambazuko1@protonmail.com

Rwanda: Rais Kagame amtumbua Mkurugenzi mkuu wa ushushushu wa ndani wa Idara ya Usalama wa Taifa ya nchi hiyo NISS

Pata toleo la wiki hii la gazeti la bure la kila wiki #PAMBAZUKO. Kutumiwa nakala yako tuma neno HABARI kwa Whatsapp +255 744 768 263 au kwa baruapepe pambazuko1@protonmail.com

Ajali ya Ghorofa Kuanguka Kariakoo: Rambirambi na Pole Kutoka Barua Ya Chahali

Dear Chadema na ACT-Wazalendo, mlipoamua kushiriki "uchafuzi" huu mlikuwa mnategemea miujiza?

Huku Mama Samia akiipongeza Tabora United kwa kuibanjua Yanga 3-1, ziara yake nchini Cuba yaahirishwa kutokana na 'kimbunga Rafaeli'

Mnaoshangilia anguko la Kamala kwa sababu ya "uswahiba wake na Mama Samia" aidha hamumjui Trump vizuri au mnajihadaa makusudi

Heri ya Siku Yako ya Kuzaliwa Mheshimiwa Nape Nnauye

Urais Marekani: Nani Kuibuka Mshindi Kati ya Kamala na Trump Leo?

Urais Marekani: Nani Kuibuka Mshindi Kati ya Kamala na Trump?

Pata toleo la wiki hii la gazeti la bure la kila wiki #PAMBAZUKO. Kutumiwa nakala yako tuma neno HABARI kwa Whatsapp +255 744 768 263 au kwa baruapepe pambazuko1@protonmail.com

Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu kifo cha Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa ya Msumbiji (SISE) Bernardo Lidimba huku nchi hiyo ikiwa kwenye machafuko makubwa yaliyotokana na uchaguzi mkuu

Kauli ya Askofu Dkt Shoo kuwa "Rais Samia ni mpango wa Mungu" yazua mtafaruku ndani na nje ya KKKT

Tahadhari ya Kiintelijensia: Hatari za Watu Ambao Hawajafanyiwa Ukaguzi (Vetting) kwa Kina Kujumuishwa Kwenye Ziara za Viongozi Wakuu Kitaifa

Pata toleo la wiki hii la gazeti la bure la kila wiki #PAMBAZUKO. Kutumiwa nakala yako tuma neno HABARI kwa Whatsapp +255 744 768 263 au kwa baruapepe pambazuko1@protonmail.com

Tukio la Kutisha: Wanafunzi 13 wa Sekondari maarufu Dar Wasimamishwa Masomo Baada ya Kukutwa na 'Unga' (Madawa ya Kulevya) 😯

Pata toleo la wiki hii la gazeti la bure la kila wiki #PAMBAZUKO. Kutumiwa nakala yako tuma neno HABARI kwa Whatsapp +255 744 768 263 au kwa baruapepe pambazuko1@protonmail.com

Happy #NyerereDay: Idara ya Usalama wa Taifa na Kifo cha Nyerere

Ugaidi ni Nini? Na Magaidi ni Watu Gani Hasa? Sehemu ya Kumi na Nne: al-Qaeda in Islamic Maghreb (AQIM), 'tawi' jingine rasmi la al-Qaeda

Safu ya Burudani: Kanye West atuhumiwa kumwekea madawa ya kulevya msaidizi wake za zamani kisha kumbaka kwenye pati ya Diddy

TEKLA, a love story: Riwaya nyingine kutoka kwa Jasusi...japo hii si ya kijasusi 😊[Sehemu ya Ishirini - "Umesahau Jinsi ya Kufumania?"]

"Kutekwa" Soka na wenzake: Huenda vijana wao wakatukana, lakini ukweli ni kwamba Chadema wanarudia kosa walilofanya baada ya Ben Saanane "kupotea"

Mtandao: riwaya (fiction) ya kwanza kabisa ya Jasusi - Sehemu ya Ishirini Na Moja: "Balaa Jipya Laibuka Huku Jasusi Akielekea Uwanja wa Mapambano Dar"

Ripoti ya Uchunguzi Kuhusu Deusdedit Soka na Wenzake Ambapo Jana Ni Siku Ya 50 Tangu Watekwe: Wapo Hai au La?

Uchunguzi wa Kiintelijensia: Je Deusdedit Soka na Wenzake "Waliotekwa" Wapo Hai Au La?

Pata toleo la wiki hii la gazeti la bure la kila wiki #PAMBAZUKO. Kutumiwa nakala yako tuma neno HABARI kwa Whatsapp +255 744 768 263 au kwa baruapepe pambazuko1@protonmail.com

Mahakama Uingereza Yaelezwa Jinsi Tigo Walivyoipatia Taarifa Mfululizo Serikali ya JPM Siku Chache Kabla ya Shambulio la Kujaribu Kumuua Lissu

Uchambuzi Wa Kiintelijensia Kuhusu Maandamano Ya Chadema: Lundo La Polisi, Mahudhurio Hafifu, Kukamatwa Mbowe Na Wenzake, Mustakabali Wa Madai na Hali Ya Siasa Tanzania Kwa Ujumla

Pata toleo la wiki hii la gazeti la bure la kila wiki #PAMBAZUKO. Kutumiwa nakala yako tuma neno HABARI kwa Whatsapp +255 744 768 263 au kwa baruapepe pambazuko1@protonmail.com

Maoni ya Mhariri wa Barua Ya Chahali: Polisi Waheshimu Haki Ya Kikatiba Ya Chadema Kuandamana, na Chadema Wazingatie Ahadi Yao ya Kuandamana Kwa Amani

Ugaidi ni Nini? Na Magaidi ni Watu Gani Hasa? Sehemu ya Kumi na Tatu: Jama’at Nusrat al-Islam wal-Muslimin (JNIM), 'tawi' hatari la Al-Qaeda linalosumbua mno Ukanda wa Sahel

Tathmini ya kiintelijensia: Kesi ya 'Boni Yai' na Hatma ya Maandamano, Mama Samia Kuwakilishwa na Majaliwa Mkutano UN, Kauli ya Balozi wa Marekani, na Tamko la Lukuvi Mama Samia Kuwa Rais Hadi 2035

Ushauri wa kiintelijensia kwa Chadema kuhusiana na maandamano yao ya Septemba 23.

Safu ya Burudani: Jaji aamuru Sean 'Diddy' Combs aende jela akisubiri kesi ya biashara ya ngono

Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu hotuba 'kali' ya Rais Samia jana

Pata toleo la wiki hii la gazeti la bure la kila wiki #PAMBAZUKO. Kutumiwa nakala yako tuma neno HABARI kwa Whatsapp +255 744 768 263 au kwa baruapepe pambazuko1@protonmail.com

Huku kukiwa hakuna dalili za Rais Samia kutekeleza matakwa ya Chadema kufikia Septemba 21, sababu mbili muhimu zinazoweza kuwafanya polisi wasizuwie maandamano Septemba 23

Tathmini ya kiintelijensia: Kauli za Dkt Nchimbi jana, Hotuba ya IGP Wambura na Tamko la Msemaji wa Polisi, na msimamo wa Chadema kuhusu maandamano Septemba 23 endapo Rais Samia hatotimiza matakwa yao

Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu madai ya Chadema kumtaka Rais Samia awalete Scotland Yard kuchunguza utekaji; awatimue Masauni, IGP, DCI, DGIS; faida/hasara za kutekeleza/kutotekeleza madai hayo

Kutekwa, kuteswa, kuuawa kwa Mzee Ali Kibao: huku ukimya wa Lissu ukiibua maswali, baadhi wakerwa na "upole" wa Mbowe kwa Masauni

Pata toleo la wiki hii la gazeti la bure la kila wiki #PAMBAZUKO. Kutumiwa nakala yako tuma neno HABARI kwa Whatsapp +255 744 768 263 au kwa baruapepe pambazuko1@protonmail.com

Taarifa ya Kiintelijensia kuhusu kutekwa, kuteswa na kuuawa kikatili kwa kiongozi mwandamizi wa Chadema Ali Mohamed Kibao, na athari zake kwa mustakabali wa siasa za Tanzania

TEKLA, a love story: Riwaya nyingine kutoka kwa Jasusi...japo hii si ya kijasusi 😊[Sehemu ya Kumi na Tisa - "Mariam Wangu"]

Mtandao: riwaya (fiction) ya kwanza kabisa ya Jasusi - Sehemu ya Ishirini: "Mwili Uliokatwa Kichwa 😯"

Usisubiri utekwe ndio ukumbuke kwamba Jasusi aliandika kitabu kuhusu mbinu mbalimbali pindi ukibaini maisha yapo hatarini/ukitishiwa maisha yako.

Pata toleo la wiki hii la gazeti la bure la kila wiki #PAMBAZUKO. Kutumiwa nakala yako tuma neno HABARI kwa Whatsapp +255 744 768 263 au kwa baruapepe pambazuko1@protonmail.com

Jinsi 'kutegemea hisani ya watesi' kunavyochangia ukiukwaji endelevu wa haki

Pata toleo la wiki hii la gazeti la bure la kila wiki #PAMBAZUKO. Kutumiwa nakala yako tuma neno HABARI kwa Whatsapp +255 744 768 263 au kwa baruapepe pambazuko1@protonmail.com

Wamasai Ngorongoro wameonyesha jinsi ya kukabiliana na udhalimu, pia wamewajengea Wapinzani kesi nzito ya kihistoria kuing'oa CCM mwakani

Pata toleo la wiki hii la gazeti la bure la kila wiki #PAMBAZUKO. Kutumiwa nakala yako tuma neno HABARI kwa Whatsapp +255 744 768 263 au kwa baruapepe pambazuko1@protonmail.com

Wamasai Waziba Barabara ya Watalii Kupinga Kuporwa Ardhi Yao na Serikali kwa Ajili ya Waarabu

Dear Mama @SuluhuSamia, IGP Wambura anakuangusha, atoa vitisho kwa polisi waliohamishwa bila kulipwa senti tano ya uhamisho

Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu mabadiliko kwenye baraza la mawaziri, teuzi/kuondolewa/kuhamishwa kwa watendaji kadhaa

Ushauri wa Kiintelijensia: Chadema wafanye nini ili kutoendelea kuwa wahanga endelevu wa uonevu wa Jeshi la Polisi?

Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu kukamatwa Mbowe, Lissu, Mnyika na mamia ya wafuasi wa Chadema

Pata toleo la wiki hii la gazeti la bure la kila wiki #PAMBAZUKO. Kutumiwa nakala yako tuma neno HABARI kwa Whatsapp +255 744 768 263 au kwa baruapepe pambazuko1@protonmail.com

Ugaidi ni Nini? Na Magaidi ni Watu Gani Hasa? Sehemu ya Kumi na Mbili: Al-Shabaab ya Somalia, 'tawi' maarufu zaidi la Al-Qaeda

Video: Ujumbe kutoka kwa Balozi Mbelwa Kairuki kwa Watanzania wanaoishi Uingereza

Pata toleo la wiki hii la gazeti la bure la kila wiki #PAMBAZUKO. Kutumiwa nakala yako tuma neno HABARI kwa Whatsapp +255 744 768 263 au kwa baruapepe pambazuko1@protonmail.com

Uchambuzi mfupi wa kiintelijensia kuhusu hatua ya Wenje kutangaza nia ya kuwania nafasi anayoshikilia Lissu

Tathmini ya kina ya kiintelijensia kuhusu uwezekano wa Irani kulipiza kisasi kwa Israeli na athari endapo hilo litatokea

Pata toleo la wiki hii la gazeti la bure la kila wiki #PAMBAZUKO. Kutumiwa nakala yako tuma neno HABARI kwa Whatsapp +255 744 768 263 au kwa baruapepe pambazuko1@protonmail.com

Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu kujiuzulu kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Kanali Abdulrahman Kinana

Pata toleo la wiki hii la gazeti la bure la kila wiki #PAMBAZUKO. Kutumiwa nakala yako tuma neno HABARI kwa Whatsapp +255 744 768 263 au kwa baruapepe pambazuko1@protonmail.com

Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu mabadiliko ya baraza la mawaziri yaliyofanywa jana na Rais Samia

Mtandao: riwaya (fiction) ya kwanza kabisa ya Jasusi - Sehemu ya Kumi Na Tisa: "AABD KiMMRUZ "

TEKLA, a love story: Riwaya nyingine kutoka kwa Jasusi...japo hii si ya kijasusi 😊[Sehemu ya Kumi na Nane- "Njoo Nikuliwaze"]

Pata toleo la wiki hii la gazeti la bure la kila wiki #PAMBAZUKO. Kutumiwa nakala yako tuma neno HABARI kwa Whatsapp +255 744 768 263 au kwa baruapepe pambazuko1@protonmail.com

Audio: Jasusi ndani ya Kasri ya Crown Media katika mahojiano kuhusu jaribio la mauaji dhidi ya Trump

Audio: Uchambuzi kuhusu jaribio la mauaji dhidi ya Trump

TEKLA, a love story: Riwaya nyingine kutoka kwa Jasusi...japo hii si ya kijasusi 😊[Sehemu ya Kumi na Saba- "Amka Mama Amka"]

Mtandao: riwaya (fiction) ya kwanza kabisa ya Jasusi - Sehemu ya Kumi Na Nane: "April wa Arachuga "

Tathmini ya kiintelijensia: FURSA na CHANGAMOTO kwa Mkurugenzi Mkuu mpya wa Idara ya Usalama wa Taifa Ndg Selemani Mombo [Sehemu ya Pili: CHANGAMOTO]

Tathmini ya kiintelijensia: Fursa na Changamoto kwa Mkurugenzi Mkuu mpya wa Idara ya Usalama, Ndg Selemani Mombo [Sehemu ya Kwanza: FURSA]

Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu Rais Samia kumteua Mkurugenzi Mkuu mpya wa Idara ya Usalama wa Taifa, Selemani Mombo na kuchukua nafasi ya Balozi Ali Siwa

Tanzanian fintech NALA secures $40 million Series A to grow B2B payment platform

Toleo la wiki hii la gazeti la bure la kila wiki #PAMBAZUKO lipo mtaani. Kutumiwa nakala yako tuma neno HABARI kwa Whatsapp +255 744 768 263 au kwa baruapepe pambazuko1@protonmail.com

Ugaidi ni Nini? Na Magaidi ni Watu Gani Hasa? Sehemu ya Kumi na Moja: Matawi Lukuki ya al-Qaeda

Uchaguzi Mkuu wa Uingereza: Anguko la Conservatives na funzo kwa CCM, ushindi wa Labour na funzo kwa Chadema, ACT-Wazalendo

Msigwa kuhamia CCM: ni tukio la mara moja tu (one-off) au ni mwanzo wa hamahama kama ile ya zama za JPM?

Maandamano ya kupingwa muswada wa fedha Kenya: muhtasari kuhusu hotuba za Ruto na Gachagua na mustakabali wao, hatma ya shushushu mkuu Noordin Haji

Breaking News: Ofisi ya Masuala ya Nje ya Uingereza yatahadharisha kuhusu uwezekano wa mashambulizi ya kigaidi Tanzania

TCRA yafuta akaunti yake X/Twitter: je ni maandalizi ya kufungia mtandao huo wa kijamii?

Fahamu kwa kina tukio zima la kutekwa, kuuawa mtoto Asimwe, ndani ya gazeti la bure la kila wiki #PAMBAZUKO lipo mtaani leo. Kutumiwa nakala yako tuma neno HABARI kwa Whatsapp +255 744 768 263

Ripoti ya kiintelijensia: kinachodaiwa kuwa mgomo wa wafanyabiashara wa Kariakoo ni mazingaombwe yaliyotengenezwa ili kumngo'a mkuu wa TRA Kidata, Waziri mwandamizi anahusika

Uchambuzi wa kiintelijensia: maandamano ya 'Gen-Z' Kenya kumng'oa Rais Ruto? Yanawezekana Tanzania?

Toleo la wiki hii la gazeti la bure la kila wiki #PAMBAZUKO lipo mtaani. Kutumiwa nakala yako tuma neno HABARI kwa Whatsapp +255 744 768 263 au kwa baruapepe pambazuko1@protonmail.com

Mama Samia kuwaondoa wakurugenzi kadhaa wa Idara ya Usalama wa Taifa: maoni ya maafisa wa sasa na wa zamani wa taasisi hiyo, wadau wa sekta ya intelijensia na umma kwa ujumla

TEKLA, a love story: Riwaya nyingine kutoka kwa Jasusi...japo hii si ya kijasusi 😊[Sehemu ya Kumi na Sita- "Japo Mama Ametutoka Lakini Mie Nipo Nawe"]

Mtandao: riwaya (fiction) ya kwanza kabisa ya Jasusi - Sehemu ya Kumi Na Saba: "Safari ya Kifo"

Taarifa ya kiintelijensia: Rais Samia awaondoa wakurugenzi kadhaa wa Idara ya Usalama wa Taifa, wateuliwa kushika nyadhifa nyingine nje ya taasisi hiyo nyeti

Rwanda: Rais Kagame ateua Mkuu mpya wa Idara ya Usalama wa Taifa ya nchi hiyo NISS, ni Mwendesha Mashtaka Mkuu Aimable Havugiyaremye, anayechukua nafasi ya Meja Jenerali Joseph Nzabamwita

Vetting fyongo: laiti vetting ingefanyika vema, RC mlawiti mzoefu asingeteuliwa kuwa DC katika wilaya kadhaa huko nyuma kabla ya kuteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa

Kilichosababisha MAREHEMU Milton Mailos Lupa kuteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo ilhali AMESHAFARIKI

Barua inayodaiwa kuwa ya 'tuzo kwa mmiliki wa hoteli inayowasapoti mashoga' yazua kizaazaa kwenye mitandao ya kijamii Tanzania

#HabariTanzania: gazeti jipya la bure la kila wiki

Balozi wa TZ hapa UK, Mh Mbelwa Kairuki (@MbelwaK) ajibu madai kwamba ubalozi huo unadaiwa sh bilioni 7.5 za maogesho, asema balozi zote hazipaswi kulipa kodi kwa mujibu wa Vienna Convention

Dear Mama @SuluhuSamia sie tunaokupenda kwa dhati na kukuombea ufanikiwe tunawajibika kukwambia ukweli huu, hata kama hautokupendeza

Ugaidi ni Nini? Na Magaidi ni Watu Gani Hasa? Sehemu ya Kumi: Historia ya al-Qaeda Kutoka Maktab al-Khidamat Hadi Zama Hizi

Mapya yaibuka katika sakata la tuhuma dhidi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Kilwa Hanan Mohamed Bafagih, anaedaiwa kuhusika na kipigo cha kijana aliyeishia kupoteza nguvu za kiume

#SafuYaZanzibar: 'fee ya kupata miadi na Dkt Mwinyi inaanzia dola 10,000' - kweli au majungu?

Tuhuma dhidi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kilwa Hanan Mohamed Bafagih, adaiwa kuhusika na kipigo cha kijana aliyeishia kupoteza nguvu za kiume

TEKLA, a love story: Riwaya nyingine kutoka kwa Jasusi...japo hii si ya kijasusi 😊[Sehemu ya Kumi na Tano- "Mama Ametuacha, Mama Amefariki"]

Mtandao: riwaya (fiction) ya kwanza kabisa ya Jasusi - Sehemu ya Kumi Na Sita: "Good Luck Boss, You Will Need It"

Tathmini ya kiintelijensia: Miaka 10 ya ACT-Wazalendo - fursa na changamoto

Tathmini ya kiintelijensia: Malumbano kuhusu Muungano; Tuhuma kwamba kuna waliopokea fedha Chadema kuhujumu chaguzi zao; Njama dhidi ya usalama wa Mh Lissu

Ugaidi ni Nini? Na Magaidi ni Watu Gani Hasa? Sehemu ya Tisa: Upande mwingine wa historia ya al-Qaeda - kuchipuka kutoka Maktab al-Khidamat

Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusiana na ajali ya helikopta iliyopelekea kifo cha Mkuu wa Majeshi ya Kenya, Jenerali Francis Ogolla jana, ajali kweli au 'kuna mkono wa mtu'?

Bashite amemdanganya Rais na Watanzania kuhusu "mawaziri wanaolipa watu ili mkuu wa nchi atukanwe mtandaoni", je Mama @SuluhuSamia ataendelea kumbeba Bashite?

TEKLA, a love story: Riwaya nyingine kutoka kwa Jasusi...japo hii si ya kijasusi 😊[Sehemu ya Kumi na Nne- "Mama Atapona na Kushuhudia Ndoa Yetu"]

Mtandao: riwaya (fiction) ya kwanza kabisa ya Jasusi - Sehemu ya Kumi Na Tano: "Mwanangu, nahitaji msaada wako"

Uchambuzi wa kiintelijensia: tuhuma za Bashite kuwa kuna mawaziri wanalipa watu wamtukane Mama Samia ni za kweli au porojo? Ni tuhuma zake kweli au katumwa? Mabadiliko kabineti ya Mama yanukia

Ulinzi wa taarifa binafsi ni jambo muhimu lakini lisiwe kama ile sheria ya cybercrime 'inayowalinda viongozi pekee,' taarifa binafsi zenye maslahi kwa umma zinapaswa kuwa exempted

Ni fahari kujua unaaminiwa: poleni kwa "mliokamatwa na Jasusi" jana kwenye April Fools' Day jana, ndio siku pekee Jasusi anaruhusiwa kuwalisha watu matango pori 😁

Waraka wa Pasaka kutoka kwa Jasusi kwenda kwa maafisa wote wa Idara ya Usalama wa Taifa

CCM yawapitisha mabosi wa zamani wa kitengo Kipilimba, Diwani na Masoro kuwa warithi wa nafasi ya uenezi ya Bashite, pia wamo 'pacha wa Bashite' Nzowa na Sabaya kwenye unaibu

Heri ya PASAKA, taarifa fupi ya kiintelijensia: Bashite alikoroga, ashushwa cheo na kupewa ukuu wa Mkoa Arusha, fahamu kilichosababisha hayo

Safu ya Burudani na Michezo: Polisi wavamia makazi ya rapa Diddy

Ugaidi ni Nini? Na Magaidi ni Watu Gani Hasa? Sehemu ya Nane: Historia ya Al-Qaeda na lawama kwamba ilikuwa 'projekti' ya CIA huko Afghanistan

Tathmini ya kiintelijensia ya miaka mitatu ya urais wa Mama @SuluhuSamia

Mahojiano ya Jenerali Mabeyo kuhusu kifo cha Magufuli yazua utata

Taarifa ya uchunguzi wa kiintelijensia kuhusu mkakati wa kusambaza ushoga na usagaji 'kila kona ya Tanzania',

Wakati Mama @SuluhuSamia anasema kuna mtandao wa wizi wa fedha za serikali, Waziri wake wa Fedha (Mwigulu) adai hakuna wizi serikalini, Waziri Mchengerwa adai huo ni wizi wa "zama za JPM" πŸ€”

Mtandao: riwaya (fiction) ya kwanza kabisa ya Jasusi - Sehemu ya Kumi Na Nne: "You Can't Say No to Your President [Huwezi Kusema Hapana kwa Rais Wako]"

TEKLA, a love story: Riwaya nyingine kutoka kwa Jasusi...japo hii si ya kijasusi 😊[Sehemu ya Kumi na Tatu- "French Kiss"]

Safu ya Habari za Zanzibar: Mfanano wa kiungozi baina ya utawala wa marehemu Mzee Ruksa na utawala wa mwanae Dkt Hussein Mwinyi

Situation Report (SITREP): Hatimaye serikali yatangaza kifo cha Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi: yaliyojiri 'nyuma ya pazia'.

Tathmini ya kijasusi: uteuzi wa Jenerali Nyamvumba kuwa Balozi mpya wa Rwanda nchini Tanzania

Ugaidi ni Nini? Na Magaidi ni Watu Gani Hasa? Sehemu ya Saba: orodha ya makundi ya kigaidi duniani

Mnara wa Babeli: Baada ya Naibu Waziri kuahidi mgao wa umeme mwisho Machi, Waziri wake asema serikali haiwezi kutamka tatizo la umeme litakwisha lini, RC Dar nae adai umeme upo tatizo miundombinu πŸ™„

Loyal friend: Jinsi Rostam Aziz na marehemu Lowassa walivyobaki marafiki hadi mauti yalipomkumba Waziri Mkuu huyo wa zamani

#SundayReading 18/02/2024

Uwezekano wa Rais Samia kufumua tena baraza lake la mawaziri, ni kutokana na "mifumo kutosomana", changamoto za uhaba wa dola, sukari na mgao wa umeme.

Toleo la wiki hii la gazeti la bure la kila wiki #PAMBAZUKO lipo mtaani. Kutumiwa nakala yako tuma neno HABARI kwa Whatsapp +255 744 768 263 au kwa baruapepe pambazuko1@protonmail.com

Mbunge huyu ni jasusi wa nchi moja jirani, ambaye Idara ya Usalama wa Taifa inafahamu kuwa ni pandikizi, anajaribu kujiweka karibu na Mama Samia

Tanzia ya kiintelijensia: maisha na nyakati za Marehemu Edward Ngoyai Lowassa

Taarifa ya kiintelijensia: SITREP (Situation Report) kuhusu Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi

Toleo la wiki hii la gazeti la bure la kila wiki #PAMBAZUKO lipo mtaani. Kutumiwa nakala yako tuma neno HABARI kwa Whatsapp +255 744 768 263 au kwa baruapepe pambazuko1@protonmail.com

TEKLA, a love story: Riwaya nyingine kutoka kwa Jasusi...japo hii si ya kijasusi 😊[Sehemu ya Kumi na Mbili- "My Love, Nikikusaliti Nitakuwa Namsaliti Mama..."]

Mtandao: riwaya (fiction) ya kwanza kabisa ya Jasusi - Sehemu ya Kumi Na Tatu: "Ziraili Amerudi Kazini"

Safu ya Habari Za Zanzibar: Sakata la kujiuzulu Waziri Simai na ndoto za Dkt Mwinyi kusaka urais wa Muungano 2025

Kulikoni? Wizara ya Ulinzi yatwiti kuhusu Waziri Stargomena Tax kukutana na ujumbe wa kampuni ya UAE, kisha twiti yafutwa, na habari yaondolewa kwenye tovuti ya Wizara

Toleo la wiki hii la gazeti la bure la kila wiki #PAMBAZUKO lipo mtaani. Kutumiwa nakala yako tuma neno HABARI kwa Whatsapp +255 744 768 263 au kwa baruapepe pambazuko1@protonmail.com

Safu ya #HabariZaZanzibar: Kujiuzulu kwa Simai na ufisadi endelevu unaoitafuna Zanzibar, ACT-Wazalendo washauriwa kuiga mfano wa Simai

Hongera sana mkuu Mo (@moodewji) kwa kuendelea kwa mwaka wa 10 mfululizo kuwa mtu tajiri kuliko wote katika nchi za Afrika Mashariki na Kati na mmoja wa mabilionea 20 barani Afrika

Pongezi CDF Jen Mkunda kueleza kuhusu raia wa kigeni waliomo/walioteuliwa serikalini, Idara ya Usalama wa Taifa mjisikie aibu kwa kufeli kushughulikia tishio hilo la kiusalama

Safu Ya TEKNOLOJIA: #Flashback: umuhimu wa kubloku watu kwenye mitandao ya kijamii (inapobidi)

Ugaidi ni Nini? Na Magaidi ni Watu Gani Hasa? Sehemu ya Sita: 'Gaidi Kwa Hawa Ni Mpigania Uhuru Kwa Wale'

Toleo la wiki hii la gazeti la bure la kila wiki #PAMBAZUKO lipo mtaani. Kutumiwa nakala yako tuma neno HABARI kwa Whatsapp +255 744 768 263 au kwa baruapepe pambazuko1@protonmail.com

Tathmini ya kiintelijensia kuhusu Dkt Nchimbi kuteuliwa Katibu Mkuu CCM, je 'atapikika chungu kimoja' na Bashite?

Taarifa ya kiintelijensia kuhusu mpango wa kundi la kigaidi la Jama'at Nusrat al-Islam wa al-Muslimeen kufanya kufanya mashambulio wakati wa michuano ya AFCON huku Ivory Coast

Safu ya BURUDANI na MICHEZO: Kombe la Mataifa ya Afrika - ubashiri wa akili mnemba kubaini atakayeibuka bingwa wa michuano hiyo

Safu ya AFYA: Kukosa choo (constipation) - chanzo, dalili, matibabu na kinga

Mapitio ya kitabu cha "Ujasusi Ni Nini, Na Je Majasusi Wanafanya Kazi Gani Hasa"

Toleo la kwanza kwa mwaka 2024 la gazeti la bure la kila wiki #PAMBAZUKO lipo mtaani leo. Kutumiwa nakala yako tuma neno HABARI kwa Whatsapp +255 744 768 263 au kwa baruapepe pambazuko1@protonmail.com

Audio: Ujumbe wa Balozi @MbelwaK kwa wanadiaspora kuhusu vipaumbele vya Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza mwaka 2024

Heri ya mwaka mpya 2024: ubashiri wa kiintelijensia kuhusu yanayotarajiwa kujiri mwaka huu ndani na nje ya Tanzania