Umuhimu wa kuwa na "Ubongo wa Pili" (Second Brain)
Tunaishi zama ambapo habari, taarifa na kila kilichomo kati ya habari na taarifa vinatujia mfululizo.
Ukiingia Twita, ukienda Insta, ukipitia TikTok, ukitembelea YouTube hadithi ni hiyohiyo. Tunakutana na mambo mengi - baadhi ni muhimu japo mengi hulenga kuvuta tu attention yako.
Talking of attention, umeshawahi kusikia kitu kinachoitwa “attention economy…