#Tujikumbushe: serikali ya Magufuli yafuta kibali cha uwindaji cha kampuni ya kitaalii ya familia ya kifalme ya Imirati, rekodi zaonyesha CCM imepokea mamilioni ya dola kutoka familia hiyo ya kifalme
Ndugu zangu madaktari, msaada wenu unahitajika kwa mdau huyu mwenye miaka 63 ambaye amekuwa akiteswa na maradhi haya ya ajabu kwa zaidi ya miaka 40 sasa