Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Dear Chadema na ACT-Wazalendo, mlipoamua kushiriki "uchafuzi" huu mlikuwa mnategemea miujiza?

Ikiwapendeza, fanyeni "political outreach" nje ya vyama vyenu mpate maoni kuhusu mbinu mbadala kuhusu kuikabili CCM kwani mnazotumia sasa zimefeli

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Nov 09, 2024
∙ Paid
2
Share
Get more from Evarist Chahali in the Substack app
Available for iOS and Android

Tangu mchakato wa uchaguzi wa serikali za vijiji, mitaa na vitongoji uanze, kitu kimoja ambacho kinatawala mno ni malalamiko mfululizo ya vyama vikuu vya upinzani vya Chadema na ACT-Wazalendo kuhusu rafu zinazofanywa na CCM kupitia TAMISEMI.

Ni muhimu kupigia mstari kwamba, kwanza, ni haki ya kikatiba ya vyama hivyo kulalamikia kasoro wanazoziona kwenye …

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture