Tangu mchakato wa uchaguzi wa serikali za vijiji, mitaa na vitongoji uanze, kitu kimoja ambacho kinatawala mno ni malalamiko mfululizo ya vyama vikuu vya upinzani vya Chadema na ACT-Wazalendo kuhusu rafu zinazofanywa na CCM kupitia TAMISEMI.
Ni muhimu kupigia mstari kwamba, kwanza, ni haki ya kikatiba ya vyama hivyo kulalamikia kasoro wanazoziona kwenye …



