Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Taarifa ya uchunguzi wa kiintelijensia kuhusu mkakati wa kusambaza ushoga na usagaji 'kila kona ya Tanzania',
Copy link
Facebook
Email
Notes
More

Taarifa ya uchunguzi wa kiintelijensia kuhusu mkakati wa kusambaza ushoga na usagaji 'kila kona ya Tanzania',

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Mar 17, 2024
∙ Paid
3

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Taarifa ya uchunguzi wa kiintelijensia kuhusu mkakati wa kusambaza ushoga na usagaji 'kila kona ya Tanzania',
Copy link
Facebook
Email
Notes
More
Share
Get more from Evarist Chahali in the Substack app
Available for iOS and Android

Usuli wa taarifa

Kwa mujibu wa sheria za Tanzania, vitendo vya ushoga na usagaji ni kinyume cha sheria. Hata hivyo, sheria hiyo ipo kinadharia zaidi kuliko vitendo, kwa sababu licha ya ushoga na usagaji kuzidi kushimiri nchini humo, hakuna rekodi angalau za hivi karibuni za watu waliochukuliwa hatua kwa kujihusisha na vitendo hivyo.

Kufuatia ripoti za kusambaa kwa vitendo vya ushoga na usagaji, Barua ya Chahali ilifanya uchunguzi wa kiintelijensia kufahamu, pamoja na mambo mengine, vitendo hivyo vimesambaa kwa kiasi gani - na kujiridhisha kuwa taarifa za kusambaa kwa vitendo hivyo hazichangiwi na kinachoonekana kama upinzani dhidi ya ushoga/mashoga na usagaji/wasagaji, kwa maana kwamba taarifa hizo hazikuzi ukubwa wa “tatizo” ili kushinikiza hatua dhidi ya “tatizo” husika - na kufahamu chanzo cha kusambaa huko.

Katika taarifa hii, “vitendo vya ushoga na usagaji” vitajumuishwa na kuitwa “ushoga” hasa kwa vile kwa Kiingereza, neno “homosexuality” linamaanisha “mapenzi ya jinsia moja”. Na kwa Kiswahili, mahusiano ya kimapenzi kati ya mwanaume na mwanaume huitwa ushoga ilhali yale kati ya mwanamke na mwanamke huitwa usagaji, japo kimsingi, kiujumla ushoga - kwa maana ya ushoga wa wanaume na usagaji wa wanawake - ndio hiyo homesexuality ya Kiingereza.

Licha ya kuonyesha “Tanzania imefikaje hapa ilipo kuhusiana na ushoga”, taarifa hii pia inaeleza kwa kina kuhusu mkakati wa kusambaza ushoga “kila kona ya Tanzania”, mbinu zinazotumika, na wahusika katika mkakati huo.

Historia ya ushoga nchini Tanzania

Japo ni vigumu kueleza kwa uhakika kuhusu historia ya ushoga nchini Tanzania, yayumkinika kutanabaisha kuwa suala ambalo limekuwa na mjadala mkubwa katika jamii ya Tanzania na ulimwenguni kwa ujumla. Historia ya ushoga nchini Tanzania imejaa changamoto, mizozo, na mchakato wa mabadiliko ya kijamii.

Katika jaribio la kuchunguza historia ya ushoga Tanzania, taarifa hii inaangalia vipindi vikuu vitanne:

  • Ushoga kabla ya ukoloni

  • Ushoga baada ya uhuru lakini kabla ya mageuzi

  • Ushoga baada ya uhuru baada ya mageuzi

  • Ushoga katika zama hizi

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture

Share

Copy link
Facebook
Email
Notes
More