Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Huku kukiwa hakuna dalili za Rais Samia kutekeleza matakwa ya Chadema kufikia Septemba 21, sababu mbili muhimu zinazoweza kuwafanya polisi wasizuwie maandamano Septemba 23
Copy link
Facebook
Email
Notes
More

Huku kukiwa hakuna dalili za Rais Samia kutekeleza matakwa ya Chadema kufikia Septemba 21, sababu mbili muhimu zinazoweza kuwafanya polisi wasizuwie maandamano Septemba 23

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Sep 16, 2024
∙ Paid

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Huku kukiwa hakuna dalili za Rais Samia kutekeleza matakwa ya Chadema kufikia Septemba 21, sababu mbili muhimu zinazoweza kuwafanya polisi wasizuwie maandamano Septemba 23
Copy link
Facebook
Email
Notes
More
Share
Get more from Evarist Chahali in the Substack app
Available for iOS and Android

Zikiwa zimesalia siku 5 kabla ya kutimia Septemba 21, tarehe ambayo Chadema waliitangaza kama deadline ya kuhakikisha Rais Samia Suluhu anatimiza matakwa yao kadhaa, hakuna dalili zozote kuwa mkuu huyo wa nchi ana mpango wowote wa kufanya hivyo.

Kujikumbusha kuhusu matakwa ya Chadema, rejea makala hii

Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu madai ya Chadema kumtaka Rais Samia awalete Scotland Yard kuchunguza utekaji; awatimue Masauni, IGP, DCI, DGIS; faida/hasara za kutekeleza/kutotekeleza madai hayo

Evarist Chahali
·
September 12, 2024
Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu madai ya Chadema kumtaka Rais Samia awalete Scotland Yard kuchunguza utekaji; awatimue Masauni, IGP, DCI, DGIS; faida/hasara za kutekeleza/kutotekeleza madai hayo

Jana, Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Mheshimiwa Freeman Mbowe aliongea na waandishi wa habari na kutoa chamko la chama chake kuhusu kifo cha kiongozi mwandamizi wa chama hicho, marehemu Ali Mohamed Kibao, sambamba na “kupotea” kwa makada mbalimbali wa chama hicho, na matukio ya utekaji kwa ujumla.

Read full story

Kadhalika, makala hii chini inaeleza kwa upana zaidi kwanini ni vigumu kwa Rais Samia kutimiza matakwa hayo ya Chadema

Tathmini ya kiintelijensia: Kauli za Dkt Nchimbi jana, Hotuba ya IGP Wambura na Tamko la Msemaji wa Polisi, na msimamo wa Chadema kuhusu maandamano Septemba 23 endapo Rais Samia hatotimiza matakwa yao

Evarist Chahali
·
September 14, 2024
Tathmini ya kiintelijensia: Kauli za Dkt Nchimbi jana, Hotuba ya IGP Wambura na Tamko la Msemaji wa Polisi, na msimamo wa Chadema kuhusu maandamano Septemba 23 endapo Rais Samia hatotimiza matakwa yao

Utangulizi:

Read full story

TANGAZO


Katika mazingira ya kawaida, uamuzi wa Rais Samia kukataa matakwa unamaanisha kuwa Chadema wataendelea na mpango wao wa kuandamana ifikapo Septemba 23.

Hata hivyo, tayari jeshi la polisi limetangaza kuwa maandamano hayo ni haramu.

Lakini kijarida hiki kinakuhabarisha kuhusu masuala mawili muhimu yanayoweza kupelekea polisi wasizuwie maandamano hayo endapo yatafanyika.

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture

Share

Copy link
Facebook
Email
Notes
More