Barua Ya Chahali
Chahali Podcast
Uhusiano Kati Ya Ujasusi na Kusulubiwa kwa Bwana Yesu Kristo
0:00
-5:00

Uhusiano Kati Ya Ujasusi na Kusulubiwa kwa Bwana Yesu Kristo

Makala hii fupi inakufahamisha kuhusu uhusiano kati ya intelijensia hususan ujasusi na Juma Kuu, hususan Jumatano Kuu ambayo pia hufahamika kama Jumatano ya Kijasusi (Spy Wednesday). Kadhalika, makala inamwangalia Yuda Iskariote kama pandikizi aliyemsaliti Bwana Yesu

Discussion about this episode

User's avatar