Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Ugaidi ni Nini? Na Magaidi ni Watu Gani Hasa? Sehemu ya Kumi na Moja: Matawi Lukuki ya al-Qaeda
Copy link
Facebook
Email
Notes
More
Simulizi za Jasusi

Ugaidi ni Nini? Na Magaidi ni Watu Gani Hasa? Sehemu ya Kumi na Moja: Matawi Lukuki ya al-Qaeda

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Jul 07, 2024
∙ Paid
1

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Ugaidi ni Nini? Na Magaidi ni Watu Gani Hasa? Sehemu ya Kumi na Moja: Matawi Lukuki ya al-Qaeda
Copy link
Facebook
Email
Notes
More
Share
Get more from Evarist Chahali in the Substack app
Available for iOS and Android

Karibu katika mfululizo wa makala kuhusu ugaidi.

Hamasa ya kuandika makala hizi imetokana na mafanikio makubwa ya kitabu cha “Afisa Usalama wa Taifa ni Mtu Gani? Na Anafanya Nini?” ambacho kilitokana na mfululizo wa makala kama huu.

Kadhalika, hivi karibuni mwandishi alichapisha kitabu kingine kilichotokana na mfululizo wa makala kuhusu "UJASUSI (espionage) ni Nini? Na MAJASUSI (spies) Wanafanya Kazi Gani Hasa?"


Kimataifa, vitabu hivi vinapatikana HAPA


Kabla ya kuingia kwenye sehemu hii ya kumi na moja ya mfululizo wa makala hizi kuhusu ugaidi, inashauriwa kusoma sehemu ya kumi ambayo ndano yake kuna links za sehemu nyingine zilizotangulia

Soma sehemu ya kumi hapa


Tangu kuundwa rasmi kwa kundi la al-Qaida, kulikuwa na mkazo kwenye kulifanya kundi hilo liwe mtandao mpana badala ya kundi moja pekee. Ni kwa mantiki hiyo, baada ya Marekani kutangaza vita ya kimataifa dhidi ya ugaidi huku mlengwa mkuu akiwa kiongozi wa al-Qaeda Osama bin Laden na kundi hilo kwa ujumla, baadhi ya wanataaluma wa stadi za ugaidi walihoji kama vita hiyo ingekuwa na ufanisi, kwani adui hakuwa mtu mmoja au kundi moja bali itikadi zaidi.

Na japo vita hivyo ilifanikiwa kupunguza nguvu za “al-Qaeda kuu”, kundi hilo la kigaidi lilifanikiwa kusambaa katika maeneo mbalimbali duniani ambako matawi yake yameendelea kuwa tishio.

Makala hii inayatambulisha baadhi ya matawi maarufu ya al-Qaeda. Hata hivyo, kama ilivyoelezwa katika sura za mwanzo, ugaidi ni kitu kinachobadilika mara kwa mara, matawi ya al-Qaeda yanavyobadilika mara kwa mara

Matawi ya al-Qaeda

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture

Share

Copy link
Facebook
Email
Notes
More