Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Ugaidi ni Nini? Na Magaidi ni Watu Gani Hasa? Sehemu ya Kumi na Tatu: Jama’at Nusrat al-Islam wal-Muslimin (JNIM), 'tawi' hatari la Al-Qaeda linalosumbua mno Ukanda wa Sahel
Copy link
Facebook
Email
Notes
More
Simulizi za Jasusi

Ugaidi ni Nini? Na Magaidi ni Watu Gani Hasa? Sehemu ya Kumi na Tatu: Jama’at Nusrat al-Islam wal-Muslimin (JNIM), 'tawi' hatari la Al-Qaeda linalosumbua mno Ukanda wa Sahel

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Sep 22, 2024
∙ Paid

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Ugaidi ni Nini? Na Magaidi ni Watu Gani Hasa? Sehemu ya Kumi na Tatu: Jama’at Nusrat al-Islam wal-Muslimin (JNIM), 'tawi' hatari la Al-Qaeda linalosumbua mno Ukanda wa Sahel
Copy link
Facebook
Email
Notes
More
Share
Get more from Evarist Chahali in the Substack app
Available for iOS and Android

Karibu katika mfululizo wa makala kuhusu ugaidi.

Hamasa ya kuandika makala hizi imetokana na mafanikio makubwa ya kitabu cha “Afisa Usalama wa Taifa ni Mtu Gani? Na Anafanya Nini?” ambacho kilitokana na mfululizo wa makala kama huu.

Kadhalika, hivi karibuni mwandishi alichapisha kitabu kingine kilichotokana na mfululizo wa makala kuhusu "UJASUSI (espionage) ni Nini? Na MAJASUSI (spies) Wanafanya Kazi Gani Hasa?"

Simulizi za Jasusi

Usisubiri utekwe ndio ukumbuke kwamba Jasusi aliandika kitabu kuhusu mbinu mbalimbali pindi ukibaini maisha yapo hatarini/ukitishiwa maisha yako.

Evarist Chahali
·
September 5, 2024
Usisubiri utekwe ndio ukumbuke kwamba Jasusi aliandika kitabu kuhusu mbinu mbalimbali pindi ukibaini maisha yapo hatarini/ukitishiwa maisha yako.

Februari 25 mwaka 2018 siku ambapo mmoja wa marahamia hatari kutokea katika historia ya Tanzania, Cyprian Musiba aliitisha mkutano na waandishi wa habari na kutangaza orodha ya watu aliowaita “WATU HATARI” kwa usalama wa taifa la Tanzania. Miongoni mwa watu hao ni Jasusi.

Read full story

Jama’at Nusrat al-Islam wal-Muslimin (JNIM), ambayo inajulikana pia kama “Vuguvugu la Nusra ya Uislamu na Waislamu”, ni muungano wa makundi kadhaa ya jihadi wenye mafungamano na Al-Qaeda katika eneo la Sahel, Afrika Magharibi. Tangu kuundwa kwake mwaka 2017, JNIM imeibuka kuwa tishio kubwa la usalama katika eneo hilo, ikichangia kwa kiasi kikubwa vurugu na ukosefu wa utulivu katika nchi kama Mali, Burkina Faso, na Niger. Kufikia mwaka 2024, kundi hili limeendelea kushiriki katika mashambulizi mbalimbali dhidi ya vikosi vya usalama, serikali, na raia wa ndani ya Sahel.

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture

Share

Copy link
Facebook
Email
Notes
More