Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Tathmini ya kiintelijensia: Mbowe ajipa masaa 48 kufanya maamuzi magumu, je atagombea au la? Vyovyote atakavyoamua, je mustakabali wa Chadema utakuwaje
Copy link
Facebook
Email
Notes
More

Tathmini ya kiintelijensia: Mbowe ajipa masaa 48 kufanya maamuzi magumu, je atagombea au la? Vyovyote atakavyoamua, je mustakabali wa Chadema utakuwaje

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Dec 19, 2024
∙ Paid

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Tathmini ya kiintelijensia: Mbowe ajipa masaa 48 kufanya maamuzi magumu, je atagombea au la? Vyovyote atakavyoamua, je mustakabali wa Chadema utakuwaje
Copy link
Facebook
Email
Notes
More
Share
Get more from Evarist Chahali in the Substack app
Available for iOS and Android

Jana Disemba 18, 2024, Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Mheshimiwa Freeman Mbowe aliongea na wageni mbalimbali waliomtembelea nyumbani kwake ambao kwa mujibu wa maelezo waliwasilisha ombi la kumtaka agombee tena nafasi hiyo.

Hata hivyo, Mheshimiwa Mbowe alieleza kwamba amepokea ombi hilo na atatumia masaa 48 kabla ya kutoa tamko rasmi endapo atagombea au la. Anatarajia kufanya hivyo kwenye mkutano na wahariri wa vyombo vya habari utakaofanyika keshokutwa.

Pamoja na mambo mengine, tathmini hii ya kiintelijensia inajikita kwenye mambo yafuatayo

  • Je atagombea au la?

  • Faida na hasara za kugombea

  • Faida na hasara za kutogombea

  • Mustakabali wa Chadema bila kujali Mheshimiwa Mbowe atagombea au la

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture

Share

Copy link
Facebook
Email
Notes
More