Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu Mbowe kuamua kugombea tena uenyekiti Chadema, "mpambano" wake vs Lissu, na mustakabali wa chama chao
Copy link
Facebook
Email
Notes
More

Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu Mbowe kuamua kugombea tena uenyekiti Chadema, "mpambano" wake vs Lissu, na mustakabali wa chama chao

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Dec 22, 2024
∙ Paid
3

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu Mbowe kuamua kugombea tena uenyekiti Chadema, "mpambano" wake vs Lissu, na mustakabali wa chama chao
Copy link
Facebook
Email
Notes
More
Share
Get more from Evarist Chahali in the Substack app
Available for iOS and Android

Jana Disemba 21, 2024, inaweza kuingia kwenye kumbukumbu za historia ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) baada ya Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe kutangaza kuwa nae anawania nafasi hiyo, ambayo Makamu wake Bara, Tundu Lissu alitangaza awali kuiwania pia.

Siku hii inaweza kuingia kwenye kumbukumbu kwa sababu katika kwa zaidi ya miaka 20 ya chama hicho kikuu cha upinzani (kwa idadi ya wanachama) hakijawahi kujikuta katika hali hii ya mwenyekiti kuchuana na makamu wake kuwania nafasi hiyo ya juu kabisa katika mfumo wa uongozi wa chama hicho.

Pamoja na mambo mengine, uchambuzi huu wa kiintelijensia unajikita katika

  • Sababu ambazo japo Mbowe hakuzitaja lakini zimechangia yeye kuchukua uamuzi huo.

  • Mpambano kati yake na Lissu.

  • Mustakabali wa Mbowe katika siasa ndani ya Chadema, Upinzani na Tanzania kwa ujumla.

  • Mpambano kati ya Mbowe vs Lissu na matokeo tarajiwa.

  • Mustakabali wa Chadema.


Sababu ambazo japo Mbowe hakuzitaa lakini zimechangia yeye kuchukua uamuzi wa kugombea uenyekiti

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture

Share

Copy link
Facebook
Email
Notes
More