Wakati Mama Samia Suluhu atatimiza miaka mitatu ya urais siku chache zijazo, jambo moja ambalo kila anayempenda hatosita kumshauri ni kwamba asiruhusu watendaji wake - hususan mawaziri - wamkosee heshima - hususan hadharani.
Kwa sababu, katika mantiki ya kawaida tu, kama Rais anasema kwamba kuna mfumo wa wizi wa fedha za serikali, lakini waziri wake wa fโฆ



