Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Tathmini ya kijasusi: uteuzi wa Jenerali Nyamvumba kuwa Balozi mpya wa Rwanda nchini Tanzania
Copy link
Facebook
Email
Notes
More
Simulizi za Jasusi

Tathmini ya kijasusi: uteuzi wa Jenerali Nyamvumba kuwa Balozi mpya wa Rwanda nchini Tanzania

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Feb 29, 2024
∙ Paid
4

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Tathmini ya kijasusi: uteuzi wa Jenerali Nyamvumba kuwa Balozi mpya wa Rwanda nchini Tanzania
Copy link
Facebook
Email
Notes
More
2
Share
Get more from Evarist Chahali in the Substack app
Available for iOS and Android

Rais Paul Kagame wa Rwanda amemteua Mkuu wa zamani wa majeshi ya nchi hiyo, Jenerali Nyamvumba kuwa balozi mteule wa Rwanda nchini Tanzania.

Uteuzi huo utategemea endapo serikali ya Tanzania itakubali, kwa mujibu wa kanuni za kidiplomasia.

Pamoja na masuala mengine, tathmini hii ya kijasusi inaeleza

  • Kwanini Jenerali Nyamvumba ameteuliwa kushika wadhifa huo.

  • Kwanini Mkuu huyo wa zamani wa majeshi ya nchi hiyo amepangiwa Tanzania.

  • Je serikali ya Tanzania itakubali kumpokea

  • Picha pana zaidi ya uteuzi huo kuhusiana na yanayojiri katika Ukanda wa Maziwa Makuu.

Jenerali Nyamvumba ni nani hasa?

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture

Share

Copy link
Facebook
Email
Notes
More