Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Bashite amemdanganya Rais na Watanzania kuhusu "mawaziri wanaolipa watu ili mkuu wa nchi atukanwe mtandaoni", je Mama @SuluhuSamia ataendelea kumbeba Bashite?

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Apr 16, 2024
∙ Paid

Juzi, Jasusi aliwasilisha kwenu uchambuzi wa kiintelijensia wa kina kuhusu tuhuma za Bashite kwamba kuna viongozi waliwemo mawaziri wanaolipa watu wamtukane Mama Samia mtandaoni.

Licha ya tishio lake kwamba jana angetaja majina ya viongozi ikiwa ni pamoja na mawaziri “wanaowalipa watu kumtukana Mama Samia mitandaoni”, hakuna kilichotokea (kama alivyobas…

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2026 Evarist Chahali · Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start your SubstackGet the app
Substack is the home for great culture