Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Bashite amemdanganya Rais na Watanzania kuhusu "mawaziri wanaolipa watu ili mkuu wa nchi atukanwe mtandaoni", je Mama @SuluhuSamia ataendelea kumbeba Bashite?

Bashite amemdanganya Rais na Watanzania kuhusu "mawaziri wanaolipa watu ili mkuu wa nchi atukanwe mtandaoni", je Mama @SuluhuSamia ataendelea kumbeba Bashite?

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Apr 16, 2024
∙ Paid

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Bashite amemdanganya Rais na Watanzania kuhusu "mawaziri wanaolipa watu ili mkuu wa nchi atukanwe mtandaoni", je Mama @SuluhuSamia ataendelea kumbeba Bashite?
2
Share

Juzi, Jasusi aliwasilisha kwenu uchambuzi wa kiintelijensia wa kina kuhusu tuhuma za Bashite kwamba kuna viongozi waliwemo mawaziri wanaolipa watu wamtukane Mama Samia mtandaoni.

Uchambuzi wa kiintelijensia: tuhuma za Bashite kuwa kuna mawaziri wanalipa watu wamtukane Mama Samia ni za kweli au porojo? Ni tuhuma zake kweli au katumwa? Mabadiliko kabineti ya Mama yanukia

Evarist Chahali
·
April 13, 2024
Uchambuzi wa kiintelijensia: tuhuma za Bashite kuwa kuna mawaziri wanalipa watu wamtukane Mama Samia ni za kweli au porojo? Ni tuhuma zake kweli au katumwa? Mabadiliko kabineti ya Mama yanukia

Kwa mara nyingine, Bashite ametawala anga za habari kufuatia tuhuma nzito alizotoa jana huko Arusha kwa Mama Samia wakati wa kumbukumbu ya miaka 40 ya kifo cha Waziri Mkuu wa zamani marehemu Edward Sokoine. Tuhuma hizo za Bashite ni kama alivyotamka kwenye video hii

Read full story

Licha ya tishio lake kwamba jana angetaja majina ya viongozi ikiwa ni pamoja na mawaziri “wanaowalipa watu kumtukana Mama Samia mitandaoni”, hakuna kilichotokea (kama alivyobas…

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture

Share