Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Kutekwa, kuteswa, kuuawa kwa Mzee Ali Kibao: huku ukimya wa Lissu ukiibua maswali, baadhi wakerwa na "upole" wa Mbowe kwa Masauni
Copy link
Facebook
Email
Notes
More

Kutekwa, kuteswa, kuuawa kwa Mzee Ali Kibao: huku ukimya wa Lissu ukiibua maswali, baadhi wakerwa na "upole" wa Mbowe kwa Masauni

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Sep 10, 2024
∙ Paid
3

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Kutekwa, kuteswa, kuuawa kwa Mzee Ali Kibao: huku ukimya wa Lissu ukiibua maswali, baadhi wakerwa na "upole" wa Mbowe kwa Masauni
Copy link
Facebook
Email
Notes
More
Share
Get more from Evarist Chahali in the Substack app
Available for iOS and Android

Makala hii ina sehemu mbili. Ya kwanza inazungumzia ukimya wa Mheshimiwa Tundu Lissu kufuatia kutekwa, kuteswa na hatimaye kuuawa kwa kiongozi mwandamizi wa Chadema, Mzee Ali Mohamed Kibao.

Sehemu ya pili inahusu “upole” wa Mheshimiwa Freeman Mbowe kwa Waziri Masauni hapo jana katika msiba wa Marehemu Kibao.


TANGAZO

Wakati bado haijaingia akilini kwamba kiongozi mwandamizi wa Chadema, marehemu Ali Mohamed Kibao, angeweza sio tu kutekwa, kuteswa na kuuawa bali pia maiti yake kumwagiwa tindikali, kumeibuka sintofahamu kutokana na ukimya wa Makamu Mheshimiwa Tundu Lissu.

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture

Share

Copy link
Facebook
Email
Notes
More