Loyal friend: Jinsi Rostam Aziz na marehemu Lowassa walivyobaki marafiki hadi mauti yalipomkumba Waziri Mkuu huyo wa zamani
Mmoja wa marafiki wa kweli wa Lowassa alikuwa Rostam Aziz. Ndo aliewezesha sio tu kuondoa tofauti kati ya JPM na Lowassa (JPM alimsumbua mno Lowassa hasa kwenye biashara zake) bali pia "kumrudisha nyumbani" CCM. True friends are hard to find ktk chama cha kinafiki kama CCM.
Evarist Chahali (@chahali), Twitter, Februari 13, 2024
Hiyo ilikuwa twiti ya Jasus…