Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu kujiuzulu kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Kanali Abdulrahman Kinana

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Jul 30, 2024
∙ Paid
2
Share
Get more from Evarist Chahali in the Substack app
Available for iOS and Android

Tanzania jana ilikumbwa na mshtuko mkubwa kufatia kujiuzulu kwa Makamu wa Mwenyekiti wa CCM, Kanali Abdulrahman Kinana.

Kujiuzulu kwa Kinana kumekuja siku chache tu baada ya makada maarufu wa chama hicho tawala, January Makamba na Nape Nnauye kuondolewa katika baraza la mawaziri la Rais Samia Sulumu, ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Taifa.

Uchambuzi huu wa kiintelijensia unabainisha sababu zilizopelekea Kinana kujiuzulu, sambamba na kueleza athari za kujiuzulu huko.


TANGAZO


Kwanini Kinana amejiuzulu?

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture