Watu wenye silaha walijaribu kumuua mwanasiasa wa upinzani Tanzania baada ya kampuni ya mawasiliano ya simu kusambaza data zake za simu kwa serikali kwa siri, kulingana na ushahidi uliosikilizwa katika mahakama ya London.
Kampuni ya simu za mkononi ya Tigo ilitoa data ya simu 24/7 na data ya eneo mali ya Tundu Lissu kwa mamlaka za Tanzania wiki chache ka…



