Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusiana na ajali ya helikopta iliyopelekea kifo cha Mkuu wa Majeshi ya Kenya, Jenerali Francis Ogolla jana, ajali kweli au 'kuna mkono wa mtu'?
Bashite amemdanganya Rais na Watanzania kuhusu "mawaziri wanaolipa watu ili mkuu wa nchi atukanwe mtandaoni", je Mama @SuluhuSamia ataendelea kumbeba Bashite?
Uchambuzi wa kiintelijensia: tuhuma za Bashite kuwa kuna mawaziri wanalipa watu wamtukane Mama Samia ni za kweli au porojo? Ni tuhuma zake kweli au katumwa? Mabadiliko kabineti ya Mama yanukia
Ulinzi wa taarifa binafsi ni jambo muhimu lakini lisiwe kama ile sheria ya cybercrime 'inayowalinda viongozi pekee,' taarifa binafsi zenye maslahi kwa umma zinapaswa kuwa exempted
Ni fahari kujua unaaminiwa: poleni kwa "mliokamatwa na Jasusi" jana kwenye April Fools' Day jana, ndio siku pekee Jasusi anaruhusiwa kuwalisha watu matango pori 😁
CCM yawapitisha mabosi wa zamani wa kitengo Kipilimba, Diwani na Masoro kuwa warithi wa nafasi ya uenezi ya Bashite, pia wamo 'pacha wa Bashite' Nzowa na Sabaya kwenye unaibu
Tathmini ya kiintelijensia ya miaka mitatu ya urais wa Mama @SuluhuSamia
www.baruayachahali.com
Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali ni kijarida (newsletter) bora kuliko vyote duniani kwa lugha ya Kiswahili. Lengo kuu la kijarida hiki ni kuhabarisha na kuelimisha, na kwa kiasi kidogo kuburudisha