Mgogoro NCCR-Mageuzi: Kada wa Chadema Martin Maranja adai "mradi wa kumuondoa Mbatia ni wa Zitto na dola". Amtuhumu Naibu Msajili Nyahoza kuwa anakamilisha kazi ya Zitto. Amhusisha pia Evarist Chahali
Dkt Slaa aliyemlaumu Zitto kuongelea ufisadi uliotajwa kwenye ripoti ya CAG aumbuliwa na Kinana aliyesema Mama Samia awachukulie hatua waliotajwa kwenye ripoti hiyo.
Kinyago walichochonga wenyewe sasa kinawatisha: Chadema wahaha kumzuia Prof Hoseah asichaguliwe tena TLS japo Chadema haohao ndio waliomnadi kwa nguvu zote uchaguzi uliopita
Shutuma kuwa "nimebloku kila mtu" si za kweli: maelezo ya jinsi navyotumia kubloku kama "kinga yangu" dhidi ya watukanaji na "watu wanaohusiana na kitengo."