Ukatili Kupindukia: Mwanaharakati wa Uganda AGATHER ATUHAIRE Aeleza Kwamba ALIBAKWA Akiwa Kizuizini Tanzania 😢
Mashirika ya Haki za Binadamu ya Kimataifa Yadai Uchunguzi wa Haraka
Tahadhari: Habari hii ina maelezo ya shambulizi la kingono
Atupwa Mpaka wa Uganda Akiwa na Majeraha ya Kikatili – Marekani na Amnesty Wataka Uchunguzi wa Haraka
Dar es Salaam / Kampala – Mwanaharakati wa haki za binadamu kutoka Uganda, Agather Atuhaire, aliyeshikiliwa kwa siku kadhaa nchini Tanzania, sasa amefichua undani wa unyanyasaji wa kutisha alioupi…