Tanzania inaandika historia mpya. Katika kipindi kifupi tu, kauli mbiu ya #NoReformsNoElection imegeuka kuwa vuguvugu la kweli la kiraia—lenye nguvu, lenye mwelekeo wa pamoja, na lisilohitaji miundo rasmi ya vyama au taasisi.
Harakati hii inashuhudia wananchi wakijipanga kupitia mitandao ya kijamii, wakiamua kwa hiari yao kufikisha ujumbe:
Hakuna mageuzi …


