Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu Rais Samia kumtumbua Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa, Saidi Masoro, na kumteua Balozi Ali Siwa kushika wadhifa huo
Copy link
Facebook
Email
Notes
More

Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu Rais Samia kumtumbua Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa, Saidi Masoro, na kumteua Balozi Ali Siwa kushika wadhifa huo

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Aug 29, 2023
∙ Paid
6

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu Rais Samia kumtumbua Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa, Saidi Masoro, na kumteua Balozi Ali Siwa kushika wadhifa huo
Copy link
Facebook
Email
Notes
More
Share

Jana kwa mara ya pili, Rais Samia Suluhu alimtumbua Mkurugenzi Mkuu mwingine wa Idara ya Usalama wa Taifa.

Safari hii ilikuwa zamu ya Saidi Masoro ambaye aliteuliwa na Rais Samia kushika wadhifa huo Januari 3, 2023. Kwahiyo, Masoro amedumu katika nafasi hiyo kwa miezi minane hivi, muda unaoingia kwenye historia kama Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa aliyedumu kwa muda mfupi kabisa.

Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu kung'olewa kwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa Diwani Athumani, na kuteuliwa kwa Said Masoro kushika wadhifa huo nyeti

Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu kung'olewa kwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa Diwani Athumani, na kuteuliwa kwa Said Masoro kushika wadhifa huo nyeti

Evarist Chahali
·
January 4, 2023
Read full story

Masoro nae aliteuliwa kufuatia kutumbuliwa kwa mtangulizi wake, Diwani Athumani, ambaye “kwa hasira”, alisusa uteuzi aliopewa na Rais Samia kuwa Katibu Mkuu Ikulu, na kupelekea Mkuu huyo wa nchi kulazimika kutengua uteuzi huo mpya wa Diwani.

Rais Samia ateungua uteuzi wa Diwani Athumani kuwa Katibu Mkuu Ikulu. Kisa? Taarifa hii ya kijasusi inaeleza kwa undani

Rais Samia ateungua uteuzi wa Diwani Athumani kuwa Katibu Mkuu Ikulu. Kisa? Taarifa hii ya kijasusi inaeleza kwa undani

Evarist Chahali
·
January 5, 2023
Read full story

Aliyeteuliwa kushika nafasi ya Masoro ni Balozi Ali Siwa, Mkurugenzi wa zamani wa Operesheni za Ndani (DOI) katika Idara ya Usalama wa Taifa, kabla ya kushika nafasi mbalimbali za kidiplomasia.

Uchambuzi huu wa kiintelijensia unajikita katika kueleza kwanini Masoro ametumbuliwa, na pia kumtathmini Balozi Siwa sio tu kwa kuteuliwa kushika wadhifa huo nyeti bali pia wakati huu ambapo serikali ya Rais Samia inakabiliwa na changamoto kadhaa.

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture

Share

Copy link
Facebook
Email
Notes
More