Kwanza Jasusi anaomba ajipongeze kwa kubashiri kuwa Profesa Edward Hosseah angeshinda kinyang’anyiro cha urais wa TLS uliofanyika jana huko Arusha.
Katika makala hii iliyochambua kuhusu uchaguzi huo, Jasusi alitanabaisha haya pichani
Kwanza Jasusi anaomba ajipongeze kwa kubashiri kuwa Profesa Edward Hosseah angeshinda kinyang’anyiro cha urais wa TLS uliofanyika jana huko Arusha.
Katika makala hii iliyochambua kuhusu uchaguzi huo, Jasusi alitanabaisha haya pichani