Barua Ya Chahali

Share this post
Zuio La Bashite Kuingia USA: Wadau Kadhaa Wanaafiki Mtazamo Wangu Kuwa Mlengwa Ni Jiwe
www.baruayachahali.com

Zuio La Bashite Kuingia USA: Wadau Kadhaa Wanaafiki Mtazamo Wangu Kuwa Mlengwa Ni Jiwe

Evarist Chahali
Feb 2, 2020
2
Share this post
Zuio La Bashite Kuingia USA: Wadau Kadhaa Wanaafiki Mtazamo Wangu Kuwa Mlengwa Ni Jiwe
www.baruayachahali.com

Nimekutana na mabandiko mawili huko Jamii Forums ambayo yanaakisi nilichoeleza katika uchambuzi wangu hapo juzi kuhusu hatua ya Marekani kumpiga marufuku Bashite kuingia nchini humo, kutokana na kuhusika kwake katika ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu.

Kwa upande mwingine, “profesa aliyeokotwa jalalani ameruka kimanga taarifa ya awali iliyomnukuu akiichimbia mkwara Marekani

Twitter avatar for @WateteziTVWateteziTV @WateteziTV
KAULI YA WAZIRI KABUDI KUHUSU KUTISHIA KUWAFUKUZA WAMAREKANI NA KUWARUDISHA WATANZANIA NCHINI. "Ninaomba Watanzania kuzipuuza taarifa hizo. Mimi ni muelewa na ninafahamu vizuri taratibu za kidiplomasia. Siwezi kutoa kauli kama hiyo," Waziri Prof. Palamagamba Kabudi
Image

February 1st 2020

4 Retweets18 Likes

Taarifa ya awali ni hii

Na mtumishi wako sikuchelewa kumtafsiria Secretary Pompeo (Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani)

Twitter avatar for @ChahaliEvarist Chahali @Chahali
Dear @SecPompeo Tanzanian Foreign Minister Prof Palamagamba Kabudi has reacted to your decision to designate DSM RC Paul Makonda as ineligible to enter the US due to his involvement in gross violations of human rights. Prof Kabudi is threatening to expel US citizens in Tanzania
Image
Image

February 1st 2020

13 Retweets81 Likes

Mambo ni mengi lakini muda ni mchache. However, mtumishi wako ninaahidi kukuletea kila latest inayojiri kuhusu suala hili.

Ndimi mtumishi wako,

Evarist Chahali

Comment
Share
Share this post
Zuio La Bashite Kuingia USA: Wadau Kadhaa Wanaafiki Mtazamo Wangu Kuwa Mlengwa Ni Jiwe
www.baruayachahali.com

Create your profile

0 subscriptions will be displayed on your profile (edit)

Skip for now

Only paid subscribers can comment on this post

Already a paid subscriber? Sign in

Check your email

For your security, we need to re-authenticate you.

Click the link we sent to , or click here to sign in.

TopNewCommunity

No posts

Ready for more?

© 2022 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Publish on Substack Get the app
Substack is the home for great writing