Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

ZIMBWABWE: Rais Mnangagwa Amfuta Kazi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (CIO) Fulton Mangwanya

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
May 11, 2026
∙ Paid

Kama huja-subscribe Barua Ya Chahali fanya hivyo hapa chini

Zimbabwe | Mabadiliko ya Uongozi | CIO

Kufutwa kazi kwa Fulton Mangwanya kama Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ujasusi la Zimbabwe (CIO) tarehe 10 Aprili 2026 si mabadiliko ya kawaida ya kiutawala. Ni tukio linalofichua nyufa ndani ya mtandao wa usalama wa Rais Emmerson Mnangagwa, udhaifu wa taasisi…

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2026 Evarist Chahali · Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start your SubstackGet the app
Substack is the home for great culture