Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Wakati kuna mashehe Arusha wapo ndani tangu mwaka 2014 kwa tuhuma za ugaidi, Waislam zaidi ya 100 wanakabiliwa na mashataka hayo Dar, Tanga, Mtwara na Morogoro; Sheikh Ponda ataka haki itendeke

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
May 21, 2023
∙ Paid
Share
Read Barua Ya Chahali in the Substack app
Available for iOS and Android

Mwanaharakati wa haki za binadamu na mtetezi wa haki za Waislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda ameeleza kuwa kuna lundo la kesi za ugaidi zilizofunguliwa dhidi ya Waislamu zaidi ya 100 katika mikoa ya Arusha, Dar es Salaam, Tanga, Mtwara na Morogoro.

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture