Wadau Hawa Wanahitaji Msaada Wako
Ndugu zangu, naamini sintowakwaza kuwarushia matangazo haya niliyotumiwa na hawa wadau wawili.
Nadhani maelezo yao yanajitosheleza. Naomba niwahakikishie kuwa nimejiridhisha kuhusu hawa wadau, na hakuna UTAPELI. Hata hivyo, ni muhimu kuchukua tahadhari kabla ya kuji-commit, na mtumishi wako nipo any time ukihitaji chochote.


Natumaini atajitokeza msamaria mwema miongoni mwenu. Kama unaweza kuwasaidia basi wasiliana nami, kisha nitakuunganisha nao.
Ndimi mtumishi wenu,
Evarist Chahali
Create your profile
Only paid subscribers can comment on this post
Check your email
For your security, we need to re-authenticate you.
Click the link we sent to , or click here to sign in.