#UziwaTwita Kuikaribisha Julai Na Neno Kuhusu #Uchaguzi2020

Kwanza, nina furaha kuwajulisha kuhusu ujio wa jarida la mtandaoni la JASUSI ambalo litajikita zaidi kuhusu masuala ya intelijensia. Vilevile litagusia masuala ya usalama wako mtandaoni na kukufundisha mbinu mbalimbali za kuwa salama. Kupitia jarida hilo natarajia pia kuendesha kozi ya awali ya udukuzi wa kimaadili. Nitawaletea maelezo zaidi hivi punde.
Awali niliomba maoni huko Twitter kuhusu jina la tovuti itakayobeba jarida hilo.


Evarist Chahali @Chahali
#KwaMtazamoWako: Ungekuwa unataka kuanzisha chapisho (gazeti/kijarida/makala mfululizo aka series, nk) linalohusu masuala ya ushushushu/ujasusi/intelijensia ungependelea jina la tovuti husika liwe lipi kati ya haya matatu?Pia nina furaha kuwafahamisha kuwa vitabu vyangu sasa vinauzwa kwa SHILINGI YA TANZANIA badala ya awali ambapo bei ilikuwa kwenye paundi ya Uingereza.

Anza Julai hii vema kwa kijipatia kopi yako HAPA
Niende kwenye #UziWaTwita. Bingirika nao hapa
















Ndimi jasusi wako,
Evarist Chahali
Create your profile
Only paid subscribers can comment on this post
Check your email
For your security, we need to re-authenticate you.
Click the link we sent to , or click here to sign in.