Utaratibu Wa Malipo
Maalum Kwa Wadau Wanaoulizia Kuhusu Utaratibu Husika
Samahani kwa wadau mliokwishachangia na wengineo ambao ujumbe huu hauwahusu. Ujumbe huu ni kwa ajili ya wadau kadhaa ambao nimekuwa nikipokea meseji zao wakiulizia utaratibu wa malipo ukoje.Kwa vile siwezi kumjibu kila mtu mmoja mmoja, naomba kutumia fursa hii kuweka tena maelezo husika kama ilivyo picha.

Kwa wadau walio nje ya Tanzania, malipo yanafanyika katika kwa KUBONYEZA HAPA.
Nawatakia siku na shughuli njema, na samahani kwa kuwasumbua msiohusika na ujumbe huu.
Ndimi mtumishi wenu
Evarist Chahali
Create your profile
Only paid subscribers can comment on this post
Check your email
For your security, we need to re-authenticate you.
Click the link we sent to , or click here to sign in.