Urais Zanzibar: Kwa Kurejea Hujuma Dhidi Yake 1995, 2000, 2005, 2010, 2015, Maalim Seif Ana Haki Kugombea Tena Kwa Mara ya Sita
www.baruayachahali.com
Jana, mwenyekiti wa taifa wa ACT-Wazalendo Maalim Seif Sharif Hamad alitangza kuwa ataomba ridhaa ya chama chake kuwa mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama hicho.