Urais Kwa Tiketi Ya Chadema: 'Mgombea Kutoka CCM' Yupo Kimkakati?
Moja wa watia nia ya kugombea urais kwa tiketi ya Chadema ni Mayrose Majinge, ambaye huko nyuma alikuwa mwana-CCM, na aliwahi kujaribu kuwania uenyekiti wa UWT Taifa bila mafanikio.

Pengine tatizo la jasusi wako ni kupenda “kuangalia kila tukio kwa jicho la kijasusi,” lakini tangu mwanamama huyu alipotangaza nia ya kutaka kuwania urais kwa tiketi ya Chad…