Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Urais Kwa Tiketi Ya Chadema: 'Mgombea Kutoka CCM' Yupo Kimkakati?

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Jun 23, 2020
∙ Paid
2
Share

Moja wa watia nia ya kugombea urais kwa tiketi ya Chadema ni Mayrose Majinge, ambaye huko nyuma alikuwa mwana-CCM, na aliwahi kujaribu kuwania uenyekiti wa UWT Taifa bila mafanikio.

fedes kinunda (@connect_dots255) | Twitter

Pengine tatizo la jasusi wako ni kupenda “kuangalia kila tukio kwa jicho la kijasusi,” lakini tangu mwanamama huyu alipotangaza nia ya kutaka kuwania urais kwa tiketi ya Chad…

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture