Urais Kwa Tiketi Ya Chadema: 'Mgombea Kutoka CCM' Yupo Kimkakati?
Moja wa watia nia ya kugombea urais kwa tiketi ya Chadema ni Mayrose Majinge, ambaye huko nyuma alikuwa mwana-CCM, na aliwahi kujaribu kuwania uenyekiti wa UWT Taifa bila mafanikio.
![fedes kinunda (@connect_dots255) | Twitter fedes kinunda (@connect_dots255) | Twitter](https://substackcdn.com/image/fetch/w_1456,c_limit,f_auto,q_auto:good,fl_progressive:steep/https%3A%2F%2Fbucketeer-e05bbc84-baa3-437e-9518-adb32be77984.s3.amazonaws.com%2Fpublic%2Fimages%2F6e304739-2972-41c8-86a9-7c6745c622c4_626x496.jpeg)
Pengine tatizo la jasusi wako ni kupenda “kuangalia kila tukio kwa jicho la kijasusi,” lakini tangu mwanamama huyu alipotangaza nia ya kutaka kuwania urais kwa tiketi ya Chad…