Barua Ya Chahali

Share this post

Urais Kenya: Kunradhi kwa ubashiri wangu fyongo.

www.baruayachahali.com

Urais Kenya: Kunradhi kwa ubashiri wangu fyongo.

Evarist Chahali
Aug 16, 2022
∙ Paid
4
Share this post

Urais Kenya: Kunradhi kwa ubashiri wangu fyongo.

www.baruayachahali.com
Share
Read Barua Ya Chahali in the Substack app
Available for iOS and Android

Hatimaye jana mshindi wa urais wa Kenya alitangazwa. Hata hivyo kinyume na ubashiri wangu wa awali ambapo nilibashiri Raila Odinga angeshinda, aliyeibuka mshindi ni William Ruto.

Share

Katika audio hii nawasilisha samahani yangu ya dhati kwenu nyote kutokana na ubashiri wangu kuwa fyongo.

1×
0:00
-5:16
Audio playback is not supported on your browser. Please upgrade.

Asanteni sana, na kwa mara nyingine tena, samahani sana 😔

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
Previous
Next
© 2023 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start WritingGet the app
Substack is the home for great writing