Unamjua Aliyetengeneza Twiti Hii Feki?

Kuna mtu ame-photoshop “twiti” hiyo pichani akiwa na malengo makuu mawili. Moja ni kumchafua Zitto na pili ni kunifarakanisha na Zitto.
Pengine si suala linalokuhusu. Lakini pengine mgomvi wa mtumishi wako ni mgomvi wako pia. Kwahiyo, endapo wafahamu picha hii imeanzia wapi - nimeona huko Facebook kwenye magrupu ya Chadema - basi nitashukuru ukinitonya. Kwenye ushushushu, hii inaitwa OSINT (Open Source Intelligence), yaani kukusanya taarifa kwa njia ya/za wazi.
Natanguliza shukrani zangu za dhati
Create your profile
Only paid subscribers can comment on this post
Check your email
For your security, we need to re-authenticate you.
Click the link we sent to , or click here to sign in.