Barua Ya Chahali

Share this post
Unamjua Aliyetengeneza Twiti Hii Feki?
www.baruayachahali.com

Unamjua Aliyetengeneza Twiti Hii Feki?

Evarist Chahali
Oct 13, 2019
5
Share this post
Unamjua Aliyetengeneza Twiti Hii Feki?
www.baruayachahali.com

Kuna mtu ame-photoshop “twiti” hiyo pichani akiwa na malengo makuu mawili. Moja ni kumchafua Zitto na pili ni kunifarakanisha na Zitto.

Pengine si suala linalokuhusu. Lakini pengine mgomvi wa mtumishi wako ni mgomvi wako pia. Kwahiyo, endapo wafahamu picha hii imeanzia wapi - nimeona huko Facebook kwenye magrupu ya Chadema - basi nitashukuru ukinitonya. Kwenye ushushushu, hii inaitwa OSINT (Open Source Intelligence), yaani kukusanya taarifa kwa njia ya/za wazi.

Natanguliza shukrani zangu za dhati

Comment
Share
Share this post
Unamjua Aliyetengeneza Twiti Hii Feki?
www.baruayachahali.com

Create your profile

0 subscriptions will be displayed on your profile (edit)

Skip for now

Only paid subscribers can comment on this post

Already a paid subscriber? Sign in

Check your email

For your security, we need to re-authenticate you.

Click the link we sent to , or click here to sign in.

TopNewCommunity

No posts

Ready for more?

© 2022 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Publish on Substack Get the app
Substack is the home for great writing