Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Unabii wa Wachungaji Hawa Kuhusu "Yajayo Tanzania" Wawaingiza Matatizoni, Mmoja Atekwa, Mwingine Akamatwa

Unabii wa Wachungaji Hawa Kuhusu "Yajayo Tanzania" Wawaingiza Matatizoni, Mmoja Atekwa, Mwingine Akamatwa

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
May 18, 2025
∙ Paid

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Unabii wa Wachungaji Hawa Kuhusu "Yajayo Tanzania" Wawaingiza Matatizoni, Mmoja Atekwa, Mwingine Akamatwa
Share

Wachungaji wawili wa madhehebu ya Kikristo wameingia matatizoni kufuatia ubashiri wao wa kinabii kuhusu yanayotarajiwa kutokea nchini Tanzania huko mbeleni.

Wakati mmoja wachungaji hao ameishia kutekwa na watu wasiojulikana, mwingine alikamatwa na polisi.


TANGAZO: Usisubiri kutekwa ndio ukumbe kwamba Jasusi aliandika kitabu hiki muhimu cha kukulinda katika zama hizi za Watu Wasiojulikana

Pata kopi yako leo HAPA


Sikiliza kwanza unabii uliowaingiza matatizoni kisha soma uchambuzi mfupi kuhusu matukio hayo mawili

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture

Share