Ukimya wa Lissu Masaa 36 baada ya Mbowe na wenzake kuachiwa huru; mustakabali wa ajenda ya katiba mpya
Hadi wakati makala hii inachapishwa - zaidi ya masaa 36 tangu Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Mheshimiwa Freeman Mbowe na wenzake watatu waachiwe huru na DPP - Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Mheshimiwa Tundu Lissu hajatwiti chochote kuhusiana na suala hilo.