Hadi wakati makala hii inachapishwa - zaidi ya masaa 36 tangu Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Mheshimiwa Freeman Mbowe na wenzake watatu waachiwe huru na DPP - Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Mheshimiwa Tundu Lissu hajatwiti chochote kuhusiana na suala hilo.