Barua Ya Chahali

Share this post

Ujio wa Mama @SuluhuSamia 2.0: Kutoka Twiti ya Uzushi Iliyozua Taharuki Kuhusu Afya Yake Hadi Hotuba Iliyojaa Mamlaka Na Kukumbusha "Mimi Ndiye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania."

www.baruayachahali.com

Ujio wa Mama @SuluhuSamia 2.0: Kutoka Twiti ya Uzushi Iliyozua Taharuki Kuhusu Afya Yake Hadi Hotuba Iliyojaa Mamlaka Na Kukumbusha "Mimi Ndiye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania."

Evarist Chahali
Jan 5, 2022
Share this post

Ujio wa Mama @SuluhuSamia 2.0: Kutoka Twiti ya Uzushi Iliyozua Taharuki Kuhusu Afya Yake Hadi Hotuba Iliyojaa Mamlaka Na Kukumbusha "Mimi Ndiye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania."

www.baruayachahali.com

Kwenye historia na maendeleo ya mtandao wa intaneti, kuna zama zinazojulikana kama Web 1.0, Web 2.0, Web 3.0 na Web 4.0.

Bila kuingia kwa undani na pengine kuwachanganya, Web 1.0 ni zama ya awali ya intaneti ambayo ilihusisha kusoma tu kilichowekwa mtandaoni (read-only web).

Web 2.0 iliwezesha kusoma na kuandika (read-write web). Hiki ndicho kipindi mtum…

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
Previous
Next
© 2023 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start WritingGet the app
Substack is the home for great writing