Ufisadi? KIA yarudishwa serikalini baada ya kuendeshwa kinyemela kwa miaka 25 na KADCO ambayo Juni mwaka jana iliingia mkataba na kampuni ya Oman kuendesha uwanja huo
Kwa mujibu wa Tanzania Business Insight,
Serikali imetangaza kuwa hatimaye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) utakabidhiwa kwa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) inayomilikiwa na Serikali (TAA) kesho, lakini walengwa halisi wa KADCO, kampuni iliyoendesha uwanja huo kwa miaka 25 na kukusanya mabilioni ya mapato bila kulipa ADA YOY…