Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Uchambuzi wa kijasusi: uteuzi wa Mkuu wa Majeshi na Mnadhimu Mkuu mpya - kwanini Luteni Jenerali Mkingule 'amerukwa' na kuishia kupewa ubalozi?
Copy link
Facebook
Email
Notes
More

Uchambuzi wa kijasusi: uteuzi wa Mkuu wa Majeshi na Mnadhimu Mkuu mpya - kwanini Luteni Jenerali Mkingule 'amerukwa' na kuishia kupewa ubalozi?

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Jun 30, 2022
∙ Paid

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Uchambuzi wa kijasusi: uteuzi wa Mkuu wa Majeshi na Mnadhimu Mkuu mpya - kwanini Luteni Jenerali Mkingule 'amerukwa' na kuishia kupewa ubalozi?
Copy link
Facebook
Email
Notes
More
Share
Read Barua Ya Chahali in the Substack app
Available for iOS and Android

Jana, Rais Samia Suluhu Hassan alimteua Jenerali Jacob John Mkunda kuwa Mkuu wa Majeshi, akichukua nafasi ya Jenerali Venance Mabayo anayestaafu. Sambamba na uteuzi huo, Rais pia amempandisha cheo Meja Jenerali Salum Haji Othman kuwa Luteni Jenerali kisha akamteua kuwa Mnadhimu Mkuu wa JWTZ.

Kwa wenye kumbukumbu nzuri, mtakumbuka kuwa Mei 24 mwaka jana, Jasusi alibashiri kitu kuhusu Luteni Jenerali Othman

Twitter avatar for @Chahali
𝐉𝐚𝐬𝐮𝐬𝐢 @Chahali
Je Brigedia Jenerali Salum Haji Othman ndiye atakuwa Mnadhimu Mkuu wa JWTZ ? Au atamrithi Diwani huko TISS kwa sababu ni mtu intelijensia ya jeshi? I would rule out kuteuliwa Unaibu Mkurugenzi TISS Zanzibar. (Kumbuka "kanuni ya FBI" wakikuuliza kitu... 😊)
Image
9:10 AM ∙ May 24, 2021
42Likes5Retweets

Makofi kwa jasusi tafadhali 😊

Enewei, lengo la makala hii ya kijasusi ni kuchambua kwanini mtu aliyekuwa akipewa nafasi kubwa ya kuwa Mkuu wa Majeshi, ambaye hadi jana alikuwa Mnadhimu Mkuu wa JWTZ, Luteni Jenerali Mathew Mkingule sio tu “amerukwa” bali pia “ameshushwa cheo kidiplomasia” na kupewa ubalozi.

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture

Share

Copy link
Facebook
Email
Notes
More