Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Uchambuzi wa kijasusi: uteuzi wa Mkuu wa Majeshi na Mnadhimu Mkuu mpya - kwanini Luteni Jenerali Mkingule 'amerukwa' na kuishia kupewa ubalozi?

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Jun 30, 2022
∙ Paid
Read Barua Ya Chahali in the Substack app
Available for iOS and Android

Jana, Rais Samia Suluhu Hassan alimteua Jenerali Jacob John Mkunda kuwa Mkuu wa Majeshi, akichukua nafasi ya Jenerali Venance Mabayo anayestaafu. Sambamba na uteuzi huo, Rais pia amempandisha cheo Meja Jenerali Salum Haji Othman kuwa Luteni Jenerali kisha akamteua kuwa Mnadhimu Mkuu wa JWTZ.

Kwa wenye kumbukumbu nzuri, mtakumbuka kuwa Mei 24 mwaka jana, Jasusi alibashiri kitu kuhusu Luteni Jenerali Othman

X avatar for @Chahali
𝐉𝐚𝐬𝐮𝐬𝐢@Chahali
Je Brigedia Jenerali Salum Haji Othman ndiye atakuwa Mnadhimu Mkuu wa JWTZ ? Au atamrithi Diwani huko TISS kwa sababu ni mtu intelijensia ya jeshi? I would rule out kuteuliwa Unaibu Mkurugenzi TISS Zanzibar. (Kumbuka "kanuni ya FBI" wakikuuliza kitu... 😊)
9:10 AM · May 24, 2021

5 Reposts · 42 Likes

Makofi kwa jasusi tafadhali 😊

Enewei, lengo la makala hii ya kijasusi ni kuchambua kwanini mtu aliyekuwa akipewa nafasi kubwa ya kuwa Mkuu wa Majeshi, ambaye hadi jana alikuwa Mnadhimu Mkuu wa JWTZ, Luteni Jenerali Mathew Mkingule sio tu “amerukwa” bali pia “ameshushwa cheo kidiplomasia” na kupewa ubalozi.

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2026 Evarist Chahali · Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start your SubstackGet the app
Substack is the home for great culture