Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Uchambuzi wa kijasusi: uteuzi wa Mkuu wa Majeshi na Mnadhimu Mkuu mpya - kwanini Luteni Jenerali Mkingule 'amerukwa' na kuishia kupewa ubalozi?

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Jun 30, 2022
โˆ™ Paid
Share
Read Barua Ya Chahali in the Substack app
Available for iOS and Android

Jana, Rais Samia Suluhu Hassan alimteua Jenerali Jacob John Mkunda kuwa Mkuu wa Majeshi, akichukua nafasi ya Jenerali Venance Mabayo anayestaafu. Sambamba na uteuzi huo, Rais pia amempandisha cheo Meja Jenerali Salum Haji Othman kuwa Luteni Jenerali kisha akamteua kuwa Mnadhimu Mkuu wa JWTZ.

Kwa wenye kumbukumbu nzuri, mtakumbuka kuwa Mei 24 mwaka jana, Jasusi alibashiri kitu kuhusu Luteni Jenerali Othman

Twitter avatar for @Chahali
๐‰๐š๐ฌ๐ฎ๐ฌ๐ข @Chahali
Je Brigedia Jenerali Salum Haji Othman ndiye atakuwa Mnadhimu Mkuu wa JWTZ ? Au atamrithi Diwani huko TISS kwa sababu ni mtu intelijensia ya jeshi? I would rule out kuteuliwa Unaibu Mkurugenzi TISS Zanzibar. (Kumbuka "kanuni ya FBI" wakikuuliza kitu... ๐Ÿ˜Š)
Image
9:10 AM โˆ™ May 24, 2021
42Likes5Retweets

Makofi kwa jasusi tafadhali ๐Ÿ˜Š

Enewei, lengo la makala hii ya kijasusi ni kuchambua kwanini mtu aliyekuwa akipewa nafasi kubwa ya kuwa Mkuu wa Majeshi, ambaye hadi jana alikuwa Mnadhimu Mkuu wa JWTZ, Luteni Jenerali Mathew Mkingule sio tu โ€œamerukwaโ€ bali pia โ€œameshushwa cheo kidiplomasiaโ€ na kupewa ubalozi.

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
ยฉ 2025 Evarist Chahali
Privacy โˆ™ Terms โˆ™ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture