Barua Ya Chahali

Share this post
[Reposted] Uchambuzi wa kiintelijensia: tathmini ya mwaka mmoja wa urais wa Mama @SuluhuSamia, na mustakabali wa uongozi wake kuelekea 2025
www.baruayachahali.com

[Reposted] Uchambuzi wa kiintelijensia: tathmini ya mwaka mmoja wa urais wa Mama @SuluhuSamia, na mustakabali wa uongozi wake kuelekea 2025

Evarist Chahali
Mar 19
Share this post
[Reposted] Uchambuzi wa kiintelijensia: tathmini ya mwaka mmoja wa urais wa Mama @SuluhuSamia, na mustakabali wa uongozi wake kuelekea 2025
www.baruayachahali.com

Leo, Machi 19, ni mwaka mmoja kamili tangu Mama Samia Suluhu Hassan aaipishwe kuwa Rais wa Sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mara baada ya kuapishwa, jasusi wako niliahidi kukuletea “ubashiri” (kijasusi wanaita “predictory intelligence”) kuhusu mustakabali wa urais wa kiongozi huyo.

Ikumbukwe kuwa miezi 20 iliyopita, Mei 19, 2021, jasusi Evarist Chahali alichapisha “ubashiri” kuhusu mustakabali wa urais wa Rais Magufuli kwa jinsi alivyokuwa anashughulikia (or rather kupuuzia) janga la korona, na akatanabaisha kuwa janga hilo lingegharimu urais na uhai wake.

Twitter avatar for @ChahaliJasusi @Chahali
Uchambuzi Wa Kiintelijensia (Kwa Kutumia Mbinu Mbalimbali Za Uchambuzi Wa Kiintelijensia) Kuhusu Mustakabali Wa Magufuli Kutokana Na Anavyoshughulikia Janga La Korona
buff.ly/3px0TQv
Image

February 26th 2021

8 Likes

Na ikawa hivyo Machi 12 mwaka jana

Twitter avatar for @ChahaliJasusi @Chahali
#BreakingNews: Tanzanian President President John Magufuli has passed away at 5.30pm (EAT) at Mzena Hospital in Dar es Salaam. However, the Vice President hasn't been informed.

March 12th 2021

536 Retweets799 Likes

japo serikali ilitangaza rasmi siku tano baadaye

Twitter avatar for @millardayomillardayo @millardayo
BREAKING: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli amefariki dunia, Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu ametangaza taarifa za kifo hicho. #RIPRaisMagufuli 🙏🏿🙏🏿🙏🏿

March 17th 2021

128 Retweets776 Likes

Uchambuzi huu wa kiintelijensia uliofanyika kwa kutumia mbinu mbalimbali za uchambuzi wa kiintelijensia, na ambao umegharimu mwaka mzima kuukamilisha, unaanza kwa tathmini ya “jinsi gani hasa Mama Samia aliingia madarakani,” ikiwa ni pamoja na kugusia madai kuwa “aliandaliwa kimkakati mwaka 2015 aje kuwa Rais badala ya Magufuli.”

Kadhalika, uchambuzi utaangalia kwa kifupi urais wake katika kipindi cha mwaka mzima, tangu aapishwe kuwa Rais Machi 19 mwaka jana.

Katika hitimisho, uchambuzi huu wa kiintelijensia utabashiri kwa uyakinifu kama

👉 atafika mwaka 2025 (ambapo kuna na uchaguzi mkuu mwingine)?

na “akifika hiyo 2025

👉je atagombea urais?”

na akigombea urais hiyo 2025, endapo akifika,

👉je atashinda?”

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2022 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Publish on Substack Get the app
Substack is the home for great writing