Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Uchambuzi wa kiintelijensia: maandamano ya 'Gen-Z' Kenya kumng'oa Rais Ruto? Yanawezekana Tanzania?
Copy link
Facebook
Email
Notes
More

Uchambuzi wa kiintelijensia: maandamano ya 'Gen-Z' Kenya kumng'oa Rais Ruto? Yanawezekana Tanzania?

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Jun 21, 2024
∙ Paid
4

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Uchambuzi wa kiintelijensia: maandamano ya 'Gen-Z' Kenya kumng'oa Rais Ruto? Yanawezekana Tanzania?
Copy link
Facebook
Email
Notes
More
1
1
Share
Get more from Evarist Chahali in the Substack app
Available for iOS and Android

Wimbi linaloendelea nchini Kenya la maandamano yanayoongozwa na Gen-Z limeleta shinikizo kubwa kwa serikali ya Rais William Ruto, huku wimbi hilo likiamsha tafakuri endapo hatimaye litafanikiwa kumwondoa madarakani kiongozi huyo.

Maandamano hayo, yaliyochochewa na mapendekezo ya kodi yenye utata katika Muswada wa Fedha wa 2024, yamewaunganisha Wakenya kutoka makabila na mielekeo ya kisiasa tofauti, na kuleta changamoto ya kipekee kwa mfumo wa kisiasa uliopo nchini humo.

Kadhalika, maandamano hayo yamegusa hisia za Watanzania wengi huku watu mbalimbali wakijiuliza kama kinachojiri Kenya kinaweza kutokea Tanzania?

Makala hii inachambua kiintelijensia kinachoendelea nchini Kenya na hatimaye kutoa jawabu kama maandamano hayo yanaweza kumwangusha Rais Ruto.

Vilevile, makala hii ya uchambuzi wa kiintelijensia inachambua na kutoa jawabu kuhusu endapo kinachojiri nchini Kenya kinaweza kutokea Tanzania.

Kuibuka kwa Maandamano ya Gen-Z

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture

Share

Copy link
Facebook
Email
Notes
More