Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu Mama Samia kumteua Makonda kuwa mwenezi CCM, ni wadhifa wa mpito tu, anaandaliwa "makubwa zaidi".
Copy link
Facebook
Email
Notes
More

Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu Mama Samia kumteua Makonda kuwa mwenezi CCM, ni wadhifa wa mpito tu, anaandaliwa "makubwa zaidi".

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Oct 23, 2023
∙ Paid
4

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu Mama Samia kumteua Makonda kuwa mwenezi CCM, ni wadhifa wa mpito tu, anaandaliwa "makubwa zaidi".
Copy link
Facebook
Email
Notes
More
3
Share

Jana Oktoba 22 ya mwaka huu 2023, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilitangaza kumrejesha kada wake Paul Makonda katika medani za uongozi baada ya kumteua kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi.

Uchambuzi huu wa kiintelijensia unabainisha sababu halisi zilizopelekea uteuzi huo sambamba na kudokeza kuhusu “makubwa yajayo”.

Kwanini Mama Samia amemrudisha Makonda?

Kichwa cha habari kinasema “…Mama Samia kumteua Makonda kuwa mwenezi CCM…” japo barua ya uteuzi huo iliyotolewa na chama hicho inasema kuwa uteuzi huo umefanywa na Halmashauri Kuu ya CCM.

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture

Share

Copy link
Facebook
Email
Notes
More