Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu mkutano wa majadiliano kati ya Mama @SuluhuSamia na viongozi wakuu wa Chadema

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
May 21, 2022
∙ Paid

Rais Samia Suluhu Hassan jana alikutana na viongozi wakuu wa Chadema wakiongozwa na Mwenyekiti wa taifa wa chama hicho, Mheshimiwa Freeman Mbowe, katika mkutano wa majadiliano ulifanyika Ikulu ya Chamwino huko Dodoma.

Kama ilivyokuwa kwenye matukio mawili ya Rais Samia kukutana na Mheshimiwa Mbowe, Machi 4 mwaka huu na majuzi Mei 9, taarifa za mkutano wa jana hazikufahamika hadi baada ya mkutano huo kukamilika.

Read Barua Ya Chahali in the Substack app
Available for iOS and Android

Kwa upande wa Mheshimiwa Mbowe, mkutano wa jana ni watatu kwa yeye kukutana na Rais Samia, ambapo kama ilivyoelezwa hapo juu, viongozi hao wawili walikutana Machi 4 mwaka huu siku ambayo Mheshimiwa Mbowe alitoka jela kufuatia kufutwa kwa kesi ya ugaidi na uhujumu uchumi iliyokuwa ikimkabili

President Samia meets Mbowe hours after his release - The Citizen

Kisha viongozi hao walikutana tena majuzi Mei 9

Hata hivyo, tofauti na mikutano hiyo miwili, mkutano wa jana uliwahusisha viongozi wengine waandamizi wa Chadema na CCM.

X avatar for @ikulumawasliano
ikulu_Tanzania@ikulumawasliano
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha majadiliano pamoja na Viongozi Wakuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ikulu Chamwino Jijini Dodoma tarehe 20 Mei, 2022. @venusnyota
6:04 PM · May 20, 2022

98 Reposts · 631 Likes
X avatar for @ikulumawasliano
ikulu_Tanzania@ikulumawasliano
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Abdulrahman Kinana, Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar @venusnyota
6:06 PM · May 20, 2022

60 Reposts · 297 Likes
X avatar for @ikulumawasliano
ikulu_Tanzania@ikulumawasliano
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akutana na kuzungumza na Viongozi Wakuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ikulu Chamwino Jijini Dodoma tarehe 20 Mei, 2022. @venusnyota
7:22 PM · May 20, 2022

50 Reposts · 150 Likes

Uchambuzi huu wa kiintelijensia unajikita katika kukuwezesha “kusikia ambayo hayajatamkwa” na “kuona ambayo hayajaonyeshwa.”

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2026 Evarist Chahali · Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start your SubstackGet the app
Substack is the home for great culture