Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu tamko la Baraza la Maaskofu Katoliki kuukataa mkataba wa bandari
Simulizi za Jasusi

Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu tamko la Baraza la Maaskofu Katoliki kuukataa mkataba wa bandari

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Aug 19, 2023
∙ Paid

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu tamko la Baraza la Maaskofu Katoliki kuukataa mkataba wa bandari
Share

Jana Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) lilitoa tamko lake rasmi kuhusu mkataba wa bandari kati ya serikali ya Tanzania na Imirati ya Dubai. Katika tamko hilo, Maaskofu hao wametamka bayana kuwa wanaukataa mkataba huo, kwa sababu mbalimbali.

Kabla ya kuingia kwenye uchambuzi kuhusu tamko hilo na impact yake sio tu kwenye mkataba huo bali kwa utawala wa Rais Samia Suluhu kwa ujumla, ni vema kulisikia tamko hilo katika video hii

Unaweza pia kusoma tamko hili hapa katika gazeti la mtandaoni la Habari Tanzania

Tamko kamili la Baraza La Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) kuukataa mkataba wa bandari


Impact ya tamko la Maaskofu kwa mkataba wa bandari

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture

Share