Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Uchambuzi wa Kiintelijensia Kuhusu Mkutano Baina ya Mama Samia na Tundu Lissu Nchini Ubelgiji Hapo Jana
Copy link
Facebook
Email
Notes
More

Uchambuzi wa Kiintelijensia Kuhusu Mkutano Baina ya Mama Samia na Tundu Lissu Nchini Ubelgiji Hapo Jana

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Feb 17, 2022
∙ Paid

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Uchambuzi wa Kiintelijensia Kuhusu Mkutano Baina ya Mama Samia na Tundu Lissu Nchini Ubelgiji Hapo Jana
Copy link
Facebook
Email
Notes
More
Share

Jana, Februari 16 ya mwaka huu 2022, itaingia kwenye kumbukumbu za historia ya Tanzania baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kukutana na Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, mjini Brussels, Ubelgiji, ambako Mama Samia yupo kwenye ziara ya kikazi.

Tetesi kwamba Mama Samia angekutana na Lissu zilianza kusikika asubuhi ya jana, na kufikia mchana kulikuwa na kila dalili za kutokea tukio hilo muhimu.

Twitter avatar for @Chahali
Jasusi @Chahali
Itakuwa habari njema endapo Lissu atakutana na Mama @SuluhuSamia huko Ubelgiji. Habari njema kwa kila anayeitakia mema Tanzania yetu. Hata hivyo, itakuwa habari mbaya mno kwa "wanaonufaika na mifarakano ya kisiasa," na sintoshangaa kusikia "wanaharakati" wakimuwashia moto Lissu
Image
3:54 PM ∙ Feb 16, 2022
115Likes13Retweets

Na muda mfupi baadaye, ikatolewa taarifa rasmi kuhusu tukio hilo muhimu

Twitter avatar for @Chahali
Jasusi @Chahali
Uchambuzi wa kiintelijensia.... loading 😊
Image
Image
5:25 PM ∙ Feb 16, 2022
34Likes4Retweets

Makala hii ya kiintelijensia inaeleza mazingira yaliyopelekea kufanyika kwa mkutano huo, na kubwa zaidi, mustakabali wa siasa za Tanzania kwa upande mmoja, maisha ya kisiasa ya Lissu, na kwa mbali kidogo, hatma ya kesi inayomkabili mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe.

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture

Share

Copy link
Facebook
Email
Notes
More