Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Uchambuzi wa Kiintelijensia Kuhusu Mkutano Baina ya Mama Samia na Tundu Lissu Nchini Ubelgiji Hapo Jana

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Feb 17, 2022
โˆ™ Paid

Jana, Februari 16 ya mwaka huu 2022, itaingia kwenye kumbukumbu za historia ya Tanzania baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kukutana na Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, mjini Brussels, Ubelgiji, ambako Mama Samia yupo kwenye ziara ya kikazi.

Tetesi kwamba Mama Samia angekutana na Lissu zilianza kusikika asubuhi ya jana, na kufikia mchana kulikuwa na kila dalili za kutokea tukio hilo muhimu.

X avatar for @Chahali
Jasusi@Chahali
Itakuwa habari njema endapo Lissu atakutana na Mama @SuluhuSamia huko Ubelgiji. Habari njema kwa kila anayeitakia mema Tanzania yetu. Hata hivyo, itakuwa habari mbaya mno kwa "wanaonufaika na mifarakano ya kisiasa," na sintoshangaa kusikia "wanaharakati" wakimuwashia moto Lissu
3:54 PM ยท Feb 16, 2022

13 Reposts ยท 115 Likes

Na muda mfupi baadaye, ikatolewa taarifa rasmi kuhusu tukio hilo muhimu

X avatar for @Chahali
Jasusi@Chahali
Uchambuzi wa kiintelijensia.... loading ๐Ÿ˜Š
5:25 PM ยท Feb 16, 2022

4 Reposts ยท 34 Likes

Makala hii ya kiintelijensia inaeleza mazingira yaliyopelekea kufanyika kwa mkutano huo, na kubwa zaidi, mustakabali wa siasa za Tanzania kwa upande mmoja, maisha ya kisiasa ya Lissu, na kwa mbali kidogo, hatma ya kesi inayomkabili mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe.

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
ยฉ 2025 Evarist Chahali ยท Privacy โˆ™ Terms โˆ™ Collection notice
Start your SubstackGet the app
Substack is the home for great culture