Barua Ya Chahali

Share this post

Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu kuondolewa kwa Balozi Mulamula kwenye uwaziri wa Mambo ya Nje, tathmini kuhusu mawaziri 'wapya.'

www.baruayachahali.com

Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu kuondolewa kwa Balozi Mulamula kwenye uwaziri wa Mambo ya Nje, tathmini kuhusu mawaziri 'wapya.'

Evarist Chahali
Oct 5, 2022
1
Share this post

Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu kuondolewa kwa Balozi Mulamula kwenye uwaziri wa Mambo ya Nje, tathmini kuhusu mawaziri 'wapya.'

www.baruayachahali.com
Read Barua Ya Chahali in the Substack app
Available for iOS and Android

Nini kilichotokea? Majuzi, Oktoba 2 mwaka huu, Rais Samia Suluhu alifanya mabadiliko madogo ya Baraza lake la Mawaziri.

Twitter avatar for @ikulumawasliano
ikulu_Tanzania @ikulumawasliano
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI @venusnyota
Image
7:26 PM ∙ Oct 2, 2022
2,169Likes278Retweets

Katika mabadiliko hayo, Rais Samia alimuondoa madarakani Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula, na badala yake kumteua Dkt Stargomena Tax, aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, kushika wadhifa huo muhimu.

Kadhalika, Rais Samia alimteua Innocent Bashungwa, aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, kuchukua nafasi ya Dkt Tax huko Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa.

Vilevile, Rais Samia alimteua Angellah Kairuki kuwa mbunge wa kuteuliwa, na kumteua kushika nafasi iliyoachwa wazi na Bashungwa.

Kwanini Balozi Mulamula ameondolewa?

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
Previous
Next
© 2023 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start WritingGet the app
Substack is the home for great writing