Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu uamuzi wa Rais Samia kuruhusu mikutano ya vyama vya siasa, ni fursa au "kitanzi" kwa Wapinzani?
Copy link
Facebook
Email
Notes
More

Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu uamuzi wa Rais Samia kuruhusu mikutano ya vyama vya siasa, ni fursa au "kitanzi" kwa Wapinzani?

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Jan 04, 2023
∙ Paid
1

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu uamuzi wa Rais Samia kuruhusu mikutano ya vyama vya siasa, ni fursa au "kitanzi" kwa Wapinzani?
Copy link
Facebook
Email
Notes
More
Share

Get more from Evarist Chahali in the Substack app
Available for iOS and Android

Jana, Rais Samia Suluhu alikutana na viongozi wakuu wa vyama vya siasa, Ikulu, kubwa lililojiri katika mkutano huo ni uamuzi wake wa kuruhusu mikutano ya vyama vya siasa.

Ni muhimu kufahamu kuwa ruhusa ilipaswa kuitwa “ruhusa kwa vyama vya upinzani kufanya mikutano ya hadhara” kwa sababu katika muda wote, chama tawala CCM kimekuwa kikifanya mikutano yake bila tatizo.

Uchambuzi huu wa kiintelijensia unaangalia jinsi gani uamuzi huo unavyoweza kuwa na faida au hasara kwa vyama vya upinzani, sambamba na faida/hasara kwa CCM.

Kubwa zaidi, “maridhiano” hayo yatawanufaisha vipi wananchi wa kawaida hasa katika kipindi hiki cha mgao wa umeme na maji

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture

Share

Copy link
Facebook
Email
Notes
More