Barua Ya Chahali

Barua Ya Chahali

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Uchambuzi wa Kiintelijensia: Jinsi Dkt Tulia Alivyopenya Mchujo wa Kuwania Uspika. Je Baada ya Kupata Uspika (na Hilo Halina Mjadala), Atakuwa 'Asset' au 'Liability' Kwa Utawala wa Mama Samia?
Copy link
Facebook
Email
Notes
More

Uchambuzi wa Kiintelijensia: Jinsi Dkt Tulia Alivyopenya Mchujo wa Kuwania Uspika. Je Baada ya Kupata Uspika (na Hilo Halina Mjadala), Atakuwa 'Asset' au 'Liability' Kwa Utawala wa Mama Samia?

Evarist Chahali's avatar
Evarist Chahali
Jan 22, 2022
∙ Paid

Share this post

Barua Ya Chahali
Barua Ya Chahali
Uchambuzi wa Kiintelijensia: Jinsi Dkt Tulia Alivyopenya Mchujo wa Kuwania Uspika. Je Baada ya Kupata Uspika (na Hilo Halina Mjadala), Atakuwa 'Asset' au 'Liability' Kwa Utawala wa Mama Samia?
Copy link
Facebook
Email
Notes
More
Share

Hatimaye kinyang’anyiro cha kumpata mgombea wa nafasi ya Uspika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano, kupitia chama tawala CCM, kimefikia ukingoni kwa chama hicho kumpitisha Naibu Spika wa sasa, Dkt Tulia Ackson.

Twitter avatar for @uhuruonlinetz
Uhuru Online @uhuruonlinetz
#HABARI: KAMATI Kuu ya Halmashuri Kuu ya CCM, ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama hicho ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kimepitisha jina la Dk. Tulia Ackson, kugombea nafasi ya Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Image
1:35 PM ∙ Jan 20, 2022

Wana-CCM 70 hivi walijitokeza kuwania nafasi hiyo, huku mwanasiasa mkongwe Andrew Chenge akipewa nafasi kubwa. Licha ya Chenge, mwanasiasa mwingine aliyedhaniwa kuwa na nafasi nzuri ni Stephen Masele. Kadhalika, Mbunge wa Ilala kwa tiketi ya CCM, Mussa Hassan Zungu, naye alikuwa akitajwa kama mmoja wa “frontrunners.”

Je Dkt Tulia amewezaje kupenya kinyang’anyiro hicho dhidi ya mkongwe Chenge? Wakati ni wazi kwamba hakuna wa kumzuwia Dkt Tulia kuwa Spika ajaye, swali kubwa ni endapo katika Uspika wake atakuwa “asset” au “liability” kwa utawala wa Mama Samia.

Lakini swali jingine la muhimu ni imekuwaje hadi Chenge kukosa nafasi hiyo muhimu licha ya nguvu zake kubwa kisiasa?

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
© 2025 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start writingGet the app
Substack is the home for great culture

Share

Copy link
Facebook
Email
Notes
More