Uchaguzi 2020: Membe Hawezi Kuwa Rais
Pamoja Na Taarifa Ya Mabadiliko Makubwa Kwa Kijarida Hiki

Samahani kwa kuchelewa kukutumia ktoleo la wiki hii la kijarida hiki.
Katika toleo la wiki iliyopita niligusia kidogo kuhusu “mchezo wa kuigiza” ambapo makada wawili wa CCM - Rostam na Membe “waliwashiana moto” hadharani kuhusu nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu ujao.
Nilieleza kuwa lengo la “maigizo” hayo ni “kumzuga” Jiwe Magufuli, ambapo kwa upande…