Barua Ya Chahali

Share this post
Ubalozi Wa Marekani Wasema Hospitali Dar Zimeelemewa Na Wagonjwa Wa Korona
www.baruayachahali.com

Ubalozi Wa Marekani Wasema Hospitali Dar Zimeelemewa Na Wagonjwa Wa Korona

Evarist Chahali
May 25, 2020
1
Share this post
Ubalozi Wa Marekani Wasema Hospitali Dar Zimeelemewa Na Wagonjwa Wa Korona
www.baruayachahali.com

Naomba kutafsiri sehemu ya taarifa husika.

Serikali ya Tanzania haijatoa taarifa zozote kuhusu UVIKO-19 (Ugonjwa wa Virusi vya Korona vya mwaka 2019) tangu Aprili 29 mwaka huu, kwahiyo hakuna takwimu zilizopo kuhusu idadi ya wenye maambukizo ya ugonjwa huo.

Uwezekano wa kuambikizwa ugonjwa huo jijini Dar es Salaam upo juu mno. Licha ya taarifa kiduchu, kila dalili yaonyesha kuwa ugonjwa huo unasambaa kwa kasi Dar es Salaam na sehemu nyingine nchini Tanzania.

Hospitali nyingi jijini Dar es Salaam zimeelemewa na wagonjwa wa UVIKO-19.

Comment
Share
Share this post
Ubalozi Wa Marekani Wasema Hospitali Dar Zimeelemewa Na Wagonjwa Wa Korona
www.baruayachahali.com

Create your profile

0 subscriptions will be displayed on your profile (edit)

Skip for now

Only paid subscribers can comment on this post

Already a paid subscriber? Sign in

Check your email

For your security, we need to re-authenticate you.

Click the link we sent to , or click here to sign in.

TopNewCommunity

No posts

Ready for more?

© 2022 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Publish on Substack Get the app
Substack is the home for great writing